Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,085
- 23,970
Halafu nilisha msahaugu huyu mwamuziki...pole zake...
"MSAHAUGU" Mulugo type
Halafu nilisha msahaugu huyu mwamuziki...pole zake...
Fikiri angekua ndio dada yako kipenzi amekutwa na hali hiyo,halafu rafiki yako anakwambia akafie mbali.!
Mi nafikiri alianza kula madawa ya kulevya baada ya kukutana na yule aliyekuwa kibosile wa BOT a.k.a mzaee wa Keko remand prison aliyekuwa anahonga magari mekundu sasa naona dada yetu Ray C ,hakuambulia hilo gari pamoja na kumshughulisha MzeeFikiri angekua ndio dada yako kipenzi amekutwa na hali hiyo,halafu rafiki yako anakwambia akafie mbali.!
Mi nafikiri alianza kula madawa ya kulevya baada ya kukutana na yule aliyekuwa kibosile wa BOT a.k.a mzaee wa Keko remand prison aliyekuwa anahonga magari mekundu sasa naona dada yetu Ray C ,hakuambulia hilo gari pamoja na kumshughulisha Mzee
Hivi we Mbongo na umaskni wako unakula cocaine unategenea nini...?Mamilionaire tu wenyewe wanafilisika wengine wanakufa..Ray c angemfikiria mama yake alivyomlea kwa tabu bila baba.
alaa kumbe!hata sio cocaine, haya ni mabaki ya dawa mbalimbali yanasagwa na kuchanganywa na acid yanauzwa mtaani.
In short ni matakataka.
Naomba picha yake ya sasa.
Sidhani kama hii habari ni ya kweli...habari za uhakika nilizo nazo toka kwa mtu anayemsaidia kuacha madawa ni kuwa hajaacha, na kama wiki mbili zilizopita alitoroka rehab Hydom Arusha...na hana tena mawasiiliano na watu wanaomtakia mema..yaani waliokuwa wakijitahidi kumsaidia kuacha madawa ya kulevya unless anapokuwa hana kitu ndio anapiga simu za mizinga!
She is battling it...she needs help...a serious help!
Hata sio cocaine, haya ni mabaki ya dawa mbalimbali yanasagwa na kuchanganywa na acid yanauzwa mtaani.
In short ni matakataka.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums