Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Tukiwa tumetoka pamoja Arusha na busi la summry ambalo lilikuwa likielekea Mbeya uku sisi tukielekea dodoma sote tulifika stand ya mabasi Same ila busi la Summry likiwa mbele yetu kutoka stand kulikuwa na pikapu katikati yetu na sababu busi lilikuwa kwenye mwendo pikapu ikaigonga kwa nyuma na kusababisha kupoteza mwelekeo na kujikuta ikiparamia miti iliyokuwa pembeni ila Tumshukuru dereva kwani alijitahidi kwa uwezo wake kukwepa kuindia mtaroni na kulivusha ilo gari kwenye daraja kwani tungekuwa tunaongea zaidi ya hayo mda huu, sprng zote za matairi ya mbele zimevunjika uku shape ya nyuma ya busi ilo imetoka na kubakia barabarani uku viti vya nyuma vikiwa vimezagaa barabarani.Watu wamebanwa na vyuma humo ndani ila nilifanikiwa kuwaona watu wawili ila hatujui kama ni hai au wamefariki kwani wamebanwa vibaya .
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.

Hata ubadilishe lugha kama unvyobadili ID bado tumekusoma kuwa wewe kama chama chako mna roho ya uuaji, yaani nyie ni uzao wa ibilisi.
 
poleni sana majerui na ndugu walio potelewa watu wao wa kalibu, mungu awatie nguvu na ujassiri, inauma sana utasikia jeshi la polisi eti linatoa tamko bada ya ajari juu ya upererezi wa chanzo cha ajari .
ni muhimu kutibu au kuzuia
ajari zimezidi kuwa nyingi jamani makampuni acheni kuajiri maderevaaombao hawako makini na hawana vigezo ,pia na sisi abiria 2siwe washabiki jamani yanazuilika mbona 2wakemeee mana nauli 2nalipana unamamlaka ya kusema unapoona yamekuwa ndivo sivyo, mana na amini mwanzo wa safari unaweza mtambua personarity ya dereva hasa mwenye hang over ukimwona trafic mwanbie sina iman na dereva kutokana na ili na ili, kama ajakusikiliza mnote number zake atawajibishwa.
 
Wamekufa wangapi, wana CHADEMA wamo humo. Nadhani hiyo ndiyo ndiyo habari

Mkuu unashangilia vifo vya watu - WATANZANIA - wenzetu? Hata kama ni Kada wa CCM this is TOO MUCH! Anywayz, wahenga walisema "Kabla hujafa hujaumbika"!

Pole sana abiria wote na Mwenyezi Mungu awajalie mpone haraka.. Amen
 
Tukiwa tumelala, tumejisahau, tunalalamika au kufanya mizaha, n.k. shetani hasinzii wala halali, na hii ni kazi yake: kuua, kuharibu, kuchinja, kutesa, n.k. Jamani tusijisahau,tutangulize sala, maombi na kuvunja hila zozote za shetani kila mara na kila wakati, maana yeye ni mshitaki wetu! Tukumbuke Mungu hafurahii kifo cha mwenye dhambi. Ninawatakia pole majeruhi na faraja wafiwa (kama kuna vifo, maana hadi sasa mtuma post au shuhuda yeyote hajatujuza)!
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.
Nope bro.... You try very hard to take a mickey of people but i think you are just not good at it, just be yourself!!! satire is an art and you aint got it bro

kwakweli your comment was rather insulting, especially to you and people around you
 
Mungu awajaliie kupona haraka kwa wenye majeraha, na awape subira waliofiwa na awalaze maremu mahala pema
 
Yamefunikwa na damu ya Yesu! lol
Utawajua tu wala hawajifichi, wametumwa kutetea kwa gharama yoyote ile. Hebu kuweni na aibu, watu wanazungumzia maisha ya watu hapa. Kwa kweli ndio mnatufanya tuzidi kuwadharau.
 
Someone has completely missed out my point. My very intention was to express my sympathy towards any pro-CHADEMA adherent involved in the tragedy. I don't behave such fatuously to celebrate someone's death as it is utterly inhuman, regardless of their ideologies.
kingereza chako kizuri kinaonyesha ni educated na mwenye fikra za kujenga.nashangaa huo upupu umetoka wapi???au ulikuwa usingizini???kweli upupu haujalishi ni msomi au lah!!poleni wahanga.
 
Wamekufa wangapi, wana CHADEMA wamo humo. Nadhani hiyo ndiyo ndiyo habari
Huu sasa u.se.nge!Mkitumwa na Msekwa na Nepi humu mliambiwa kila kitu ni cdm?Huu ni u.s.e.n.g.e kudadeki!Manina! Bata mwenye nyege za kwale!Mod nao wanaangalia tu wanaona ni sawa!
 
Huu sasa u.se.nge!Mkitumwa na Msekwa na Nepi humu mliambiwa kila kitu ni cdm?Huu ni u.s.e.n.g.e kudadeki!Manina! Bata mwenye nyege za kwale!Mod nao wanaangalia tu wanaona ni sawa!
Mkuu mwenzangu siku hizi naona profile yako ina 'banned' mara kibao... nini kinaendelea aisee?

Leo tutafutane kubariki ijumaa isee
 
Nawapa pole waathirika kwa hili. Naomba kujuzwa pia hii kampuni ya Sumry siyo ile zamani ilikuwa inajulikana kama Tawfiq?
 
Back
Top Bottom