Recent content by abousumaiya

  1. A

    Hakuna maisha baada ya kifo(no life after death)

    Huyu mtu anahitaji daawa haswa....
  2. A

    BURUNDI: Wawili wafungwa kwa kumchezea rafu Rais Nkurunziza aliposhiriki katika mchezo wa soka

    Wangemrukia kama van dame na bolo young kwenye blood sport
  3. A

    Nahitaji Kuchimbiwa Kisima, Upo Utaalam wa Kujua Yanapatikana Maji ya Kawaida na Sio ya Chumvi...?

    0715270267 mpigie huyu ni mchumba visima na bei yake ni nafuu mno
  4. A

    Mke wangu mbona visa haviishi?

    Ngosha kapatikana......usipochkua hatua Za haraka mauti ...yapo njiani....aidha ujinyonge au uozee jela....huyu mtu anahitaji Masada wa haraka na ukibaki basi utaishi na maisha ya stress na madeni...kutokua na furaha aiseeeee
  5. A

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Wakati anamtusi nakumleleta matarumbeta yule dj wa clouds....aleimpokea na ushamba wake alidhani dunia na yake.....Joyce bana
  6. A

    Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

    Sasa kutumbua na warembo...ilhali zinaa ni haramu...dawa ni kujitwisha wawili
  7. A

    Wanawake wa kiislam mlioolewa: Unaona sawa mumeo akiongeza wanawake hadi wanne?

    Unajua rizki huleta mwenyezi mungu....kuna Wenye mke mmoja na bado maisha ni taaabu...nadhani ni utayari tu wa kuvaa majukumu...na kumtegemea mungu kwenye kila utaftaji......Ila tuwe wawazi mke mmoja Kama wewe c mzinifu na unamuogopa mungu hatoshi ni adhabu ....yaani ni Kama hauna tu...Ila sasa...
  8. A

    Ushauri: Mama mkwe kaniambia nimpe mwanae talaka

    Mpe mama ask moja na mkeo pia th n chukua mtoto...Anza maisha mapya.....wazazi wanaojielewa hawawezi kusema ujinga
  9. A

    Huu msemo Behind every successful man there's a woman behind UFUTWE ni uongo uliokubuhu

    Kila mwanamme aliefilisika na kuanguka kuna Mwanamke nyuma....nadhani ungesomeka hivi
  10. A

    Mke wangu hatari kwa uchumi wangu

    Unajua tabia ni Kama ngozi.....hamna Jinsi ya kuirekebisha.....Ila asio na hili Ana lile....so angalia mema yake na mabaya yapi yanazidiana.......wanawake Ndo hawahawa tu.....
  11. A

    Bei ya soda za Cocacola take away kutoka kiwandani ni kiasi gani?

    Waungwana naomba kuuliza bei Za soda Za brand ya Coca Cola toka kiwandani inaweza kua sh ngapi na nawezaje kupata uargent ....I mean vigezo gani natakiwa kua navyo....naongelea Zile Za chupa ya plastic
  12. A

    Mwanamke huyu sasa nipeni ushauri wa mwisho.

    Mwanamke akikupenda atakuonea huruma...na hata ukikosa atasema inshaallah utapata Kesho....huku akitabasam na kukupa moyo....hapa Ndo tunakosea wanaume......unaona Dalili zote Za kufilisiwa na kupewa maradhi ya moyo na kisukari.... katika umri mdogo.....skia Hama iyo nyumba ...zima cm halafu...
  13. A

    Chinese cat

    Pole....Haya msaada sasa
Back
Top Bottom