Habari wana JF,
Nimekuja mbele zenu naombeni ushauri,
Mimi ninamke tumedumu kwenye ndoa miaka minne mpaka sasa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto wala hata ujauzito kuharibika japo nje ya ndoa ninamtoto na hata mwenzangu analijua hilo.
Lakini maswala ya uzazi na mwenzangu hayajawahi kuninyima raha kwani naamini ipo siku ya itakuwa poa na nimejaribu mara kadhaa kutoka nje ya ndoa kufanya kama self test nakuta niko poa na hata saizi natarajia kupata mtoto mwingine kutoka kwa mchepuko ambao nilikua nao hata kabla ya kuoa maana ulinipenda sana, tukatibuana baada ya mimi kuoa baadae nikauweka sawa tukarudiana pia huo mchepuko wangu ulisha wahi kutoa mimba kabla hata sijaoa kwasababu eti sikuonesha future nao na baada ya kurudiana nao mwaka juzi ulidaka tena ujauzito ambao ulidai ni wangu lakini bahati mbaya ikatoka na sasa ni mjamzito tena na hii tulipanga kabisa wala sio bahati mbaya kwani muda wowote atajifungua.
Pia mbali na huyo mchepuko kuna mwingine mimba ilitoka kwa sababu ya magonjwa ya zinaa ambayo hata mimi yalinipata na nikatibiwa na kuachana nae.
Sasa kinachonikera na kuniudhi zaidi kwa wife mpaka nawaza kuachana nae ni kwamba kwanza wakati namuoa hali ya uchumi ilikua stable kiasi now nimeshuka na mwenzangu ni mtu ambaye anajali sana kwao.
Kuliko hata maisha yetu pamoja na kwamba kwao wazazi wake wote ni waajiriwa na familia yao ni ndogo kuliko ya upande wetu pia kwetu mimi ndio tegemeo na ndio first born sasa napata hofu kuendelea nae afu amekua ni mtu mwenye kupenda kuonesha anauwezo hata kama hali haiko hivyo je nikikua kiuchumi itakuaje?
Naomba ushauri nifanye ili nimuache huyu au nitengeneze sababu ya aina gani itakayofaa?
Nimekuja mbele zenu naombeni ushauri,
Mimi ninamke tumedumu kwenye ndoa miaka minne mpaka sasa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto wala hata ujauzito kuharibika japo nje ya ndoa ninamtoto na hata mwenzangu analijua hilo.
Lakini maswala ya uzazi na mwenzangu hayajawahi kuninyima raha kwani naamini ipo siku ya itakuwa poa na nimejaribu mara kadhaa kutoka nje ya ndoa kufanya kama self test nakuta niko poa na hata saizi natarajia kupata mtoto mwingine kutoka kwa mchepuko ambao nilikua nao hata kabla ya kuoa maana ulinipenda sana, tukatibuana baada ya mimi kuoa baadae nikauweka sawa tukarudiana pia huo mchepuko wangu ulisha wahi kutoa mimba kabla hata sijaoa kwasababu eti sikuonesha future nao na baada ya kurudiana nao mwaka juzi ulidaka tena ujauzito ambao ulidai ni wangu lakini bahati mbaya ikatoka na sasa ni mjamzito tena na hii tulipanga kabisa wala sio bahati mbaya kwani muda wowote atajifungua.
Pia mbali na huyo mchepuko kuna mwingine mimba ilitoka kwa sababu ya magonjwa ya zinaa ambayo hata mimi yalinipata na nikatibiwa na kuachana nae.
Sasa kinachonikera na kuniudhi zaidi kwa wife mpaka nawaza kuachana nae ni kwamba kwanza wakati namuoa hali ya uchumi ilikua stable kiasi now nimeshuka na mwenzangu ni mtu ambaye anajali sana kwao.
Kuliko hata maisha yetu pamoja na kwamba kwao wazazi wake wote ni waajiriwa na familia yao ni ndogo kuliko ya upande wetu pia kwetu mimi ndio tegemeo na ndio first born sasa napata hofu kuendelea nae afu amekua ni mtu mwenye kupenda kuonesha anauwezo hata kama hali haiko hivyo je nikikua kiuchumi itakuaje?
Naomba ushauri nifanye ili nimuache huyu au nitengeneze sababu ya aina gani itakayofaa?