Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Chanzo cha uhaba wa wanaume waoaji

Aisee! Muoaji mmoja nipo hapa micasa lounge hapa ubungo nayumbisha dishi karibuni sana
 
Inafikia hatua wanawapa hata wachungaji kazi ngumu ya kuwaombea,kama Leo unaombewa ili upate mwanaume Wa maisha yeye akijibiwa maombi anachambua mpaka bac,kwa mtindo huo ni kwanini asizekee kwao?
Kwa kweli hapa wachungaji wana kazi
 
Nilishawai kuuliza kitu kama hiki?, kumbe vigezo na masharti ndo makubwa kaa makataba wa makinikia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushasitukaaaaa......hatuoi ng'ooooooo....chama la wana....tunataka kitu....original.....tangazo kaa unajijua bado upo original karibu pm tuongee.....na sisi tunaanza kuwapa masharti sasa dadekiiiii....
 
Kama huduma zote ambazo mwanaume anahitaji kwa mwanamke zinapatikana bila ndoa, sasa ndoa ya nn?
 
Sasa kutumbua na warembo...ilhali zinaa ni haramu...dawa ni kujitwisha wawili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na uzuri wa jf co rahisi wao kujuana dadekiiii......
 
Huu uzi naona wanaume tu wanachangia wapi
Wanawake

Au haukidhi vigezo au mawe hayavumiliki
 
Wanawake zamani walikuwa tayari kuolewa hata 4 kwa mume mmoja.
Kila MTU alikuwa akikabidhiwa mali zake na kuendelea kuzitunza.
Mzee alikuwa akimiliki zizi la ng'ombe labda na shamba moja kubwa.
Mfano, babu yangu kwao walizaliwa 4 wa kiume na kila mmoja alioa wake 4.
Na walikuwa wakiishi karibu karibu hivyo kampaund yao ilikuwa na wanawake 16.
Na maisha yalisonga mbele.

Wanawake siku hizi wanataka kumiliki wanaume wakati hata mahari hawatoi. Na wanashuhudia wadada mtaani wakizaa bila kuolewa. Hawajiulizi hata wanazaa na nani?
Wameamua kuficha macho yao kwamba hawaoni
 
Back
Top Bottom