Mwanamke huyu sasa nipeni ushauri wa mwisho.

Mwanamke huyu sasa nipeni ushauri wa mwisho.

Dah! Mkuu Pole sana! Kabla ya kukupa ushauri-mubashara nijibu haya:-

1.je uhusiano wenu ulianzaje!? (Ulianzisha mwenyewe au ulipigiwa pande!?)

2.Mazingira ya mwanzo kukutana naye yalikuwa wapi!? (mtaani au chuoni!?)

3.Mama yake mzazi yupo!? na anakukubali kwa % ngapi na ndugu zake wengine je!?

Angalizo:-

1.usijaribu katika maisha yako kuoa mwanamke kwa kupigiwa pande na yeyote hata kama wazazi wako.

2.Usioe mwanamke aliyeachika kwenye ndoa halali hata kama hana mtoto.

Ndugu yangu nakuomba uchukue maamuzi magumu ya kibinafsi kama bado hujamuoa "Piga chini" na usirudi nyuma hata aje nani hayo yawe ni maamuzi yako binafsi.

Tafuta mwanamke wa kawaida haraka sana kuziba pengo yaani uoe kabisa (achana na wanawake wa saluni na wasomi sana) hao wanakupotezea "timing" na hakikisha hana mama yake mzazi---- Mara nyingi wanakuaga sio.
 
Dah! Mkuu Pole sana! Kabla ya kukupa ushauri-mubashara nijibu haya:-

1.je uhusiano wenu ulianzaje!? (Ulianzisha mwenyewe au ulipigiwa pande!?)

2.Mazingira ya mwanzo kukutana naye yalikuwa wapi!? (mtaani au chuoni!?)

3.Mama yake mzazi yupo!? na anakukubali kwa % ngapi na ndugu zake wengine je!?

Angalizo:-

1.usijaribu katika maisha yako kuoa mwanamke kwa kupigiwa pande na yeyote hata kama wazazi wako.

2.Usioe mwanamke aliyeachika kwenye ndoa halali hata kama hana mtoto.

Ndugu yangu nakuomba uchukue maamuzi magumu ya kibinafsi kama bado hujamuoa "Piga chini" na usirudi nyuma hata aje nani hayo yawe ni maamuzi yako binafsi.

Tafuta mwanamke wa kawaida haraka sana kuziba pengo yaani uoe kabisa (achana na wanawake wa saluni na wasomi sana) hao wanakupotezea "timing" na hakikisha hana mama yake mzazi---- Mara nyingi wanakuaga sio.
Twende pamoja mkuu

1. .Mahusiano yetu yalipoaanzia ni kuwa mim nilikuwa natoka kazini yeye anatoka kwenye maombi njee kidogo ya mji bahati mbaya siku hiyo sikuwa na usafiri tukawa tunatembea taratibu na jamaa yangu, kidogo ikatukuta gari ndogo ndani ina watu wa 4 baba mmoja ambaye alikuwa dereva, mama mmoja mtu mzima na mabinti wawili siti za nyuma tukaomba lifti tukakaa nao siti za nyuma, storii zikaanza mwisho tukabadilishana mawasiliano mahusiano yalianzia hapo, tulikutana katika mazingira hayo sio chuoni na hakuwahi kumjua mwanaume kabla yangu nakiri she was virgin.

2. Mama yake kiufupi wazazi hawaishi pamoja na yeye alilelewa na bibi yake mpaka utu uzima wake, mama yake ananipenda sana na tunawasiliana sana lakini pia huwezi jua mazingira mengine nyuma ya pazia

Karibuu tuchangie mawazo mkuu
 
Mwanamke akikupenda atakuonea huruma...na hata ukikosa atasema inshaallah utapata Kesho....huku akitabasam na kukupa moyo....hapa Ndo tunakosea wanaume......unaona Dalili zote Za kufilisiwa na kupewa maradhi ya moyo na kisukari.... katika umri mdogo.....skia Hama iyo nyumba ...zima cm halafu kapotelee mbali......Au sbiri mauti yanakufata....kabla ya mauti utaandamwa na umaskini....hadi ujishangae
 
Hakuna haja ya kumkasirikia mwanaume kisa hajakusaidia, kama huwa anakusaidiaga basi asipokupa jua hana.

Mm sijui mungu atanibariki ndoa ya namna gani? Nikibahatika Mme akanipenda mengine namwacha afanye kama bonus maana sio lazima.

Mahusiano bana wengine wanalilia kupenda wengine kusaidiwa? Kusaidia utashi wa MTU unless kuna ulazima, mfano kwenye ugonjwa
Nimekupenda bureee
 
Hakuna haja ya kumkasirikia mwanaume kisa hajakusaidia, kama huwa anakusaidiaga basi asipokupa jua hana.

Mm sijui mungu atanibariki ndoa ya namna gani? Nikibahatika Mme akanipenda mengine namwacha afanye kama bonus maana sio lazima.

Mahusiano bana wengine wanalilia kupenda wengine kusaidiwa? Kusaidia utashi wa MTU unless kuna ulazima, mfano kwenye ugonjwa
Usijali Mungu ni mwema tutafanikisha haya mapito!
 
aliyesoma aelezee kwa ufupi basi... maneno yote hayo kama walaka bhana..!!!
 
Mwanamke akikupenda atakuonea huruma...na hata ukikosa atasema inshaallah utapata Kesho....huku akitabasam na kukupa moyo....hapa Ndo tunakosea wanaume......unaona Dalili zote Za kufilisiwa na kupewa maradhi ya moyo na kisukari.... katika umri mdogo.....skia Hama iyo nyumba ...zima cm halafu kapotelee mbali......Au sbiri mauti yanakufata....kabla ya mauti utaandamwa na umaskini....hadi ujishangae
Asante kwa ushauri mkuu kiufupi hatujaoana ni uchumba tu huu na kila mtu anaishi kwake hatuishi pamojaa
 
Back
Top Bottom