Duh kweli we ndo mwenyewe mitaa ile...ni kweli hata mimi babu yangu ndo ilikuwa mitaa yake ya kunywa pombe na nyama zisizoeleweka.....tulikuwa tunaishi ajentina pale jirani na jego gesti
Mh ifike mahala tukubali tu....hivi kuna muandishi wa habari aliyewah kujichanganya kumkosoa kiduku korea?kama kunyoa tu style yake ni marufuku vp kuhusu mambo mengine
No ishu sio kuwalazimisha kuishi maisha ya viwango..ishu ni kwamba vyuoni kuna zile kabati wanaitaga locker ina maana hawakuwahi hata kuuliza mtaani kuhusu habari za vyuoni?...ndo tunashangaa hapo..ina maana kwao walikotoka ni kisiwani kiasi gani hadi wasipate info za nje?
ila kiukweli wanafunzi wa cku hizi ni mtihani sana,yani hawaambiliki wala hawasikii,wazazi nao wanasema ndio utandawazi hata kufuatilia maendeleo yao wanaona kazi wanasema eti wako bize,kwa hiyo haya matokeo tusiyashangae kwani tumeya taka wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.