Wadada wanapenda sana attention ya wanaume sijui kwanini

Wadada wanapenda sana attention ya wanaume sijui kwanini

Huyo dada naee, kwahiyo nawewe ungemgusa gusa ndio ingekuwa tayariii tenaa??
 
Sasa hujasema nae chochote unaleta uzi wa nini? Unavyoelezea ni as if kuna kitu kilitokea baada ya hapo kumbe story tu kama watoto wa shule!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom