Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,394
- 1,857
Chai nyingine hii,Kwa technologia ya sasa simu ikiwa na battery capacity chin ya 5000 Amh ni matatizo
Naomba kufahamu matatizo ya;
Vivo V23
Samsung galaxy S20+
Huawei P30
Apple iPhone 13 pro max
Hizo zote zina battery capacity chini ya 5000mAh