HOTUBA YA JPM ITAKAYOPATA KUISHI MILELE

HOTUBA YA JPM ITAKAYOPATA KUISHI MILELE

2021mao

Member
Joined
Aug 19, 2021
Posts
79
Reaction score
75
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Itachukua muda mrefu sana Tanzania kupata raisi mwenye kaliba kama JPM
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Watakuja wtakupinga

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Hotuba ilikuwa nzuri, Na pengine nia ilikuwa nzuri. Lakini alipozuia mawazo mbadala kwa kuminya uhuru wa kujieleza . HAPANA .


Upinzani una maana yake . Hata pale tunapokuwa na viongozi wanaojiita wazalendo. Hebu ziangalie nchi kama Japan , South Korea, Australia , Sweden nk. Wanao viongozi wazuri na wazalendo lakini hawanyamazishi upinzani.
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Katika moja ya mitazamo ya hovyooo kuliko yote ya Magufuli ni kuamini Watznia wote lazima wawe wafuasi chama kilichojaa mafisadi, wahujumu uchumi, wala rushwa, majitu yenye roho mbaya, mijitu mibaguzi.
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Kavideo kangependeza kwa kumbukumbu Zaid in charge
 
Hakika vizazi na vizazi vitamkumbuka huyu mwamba. Majitoleo yake ni sadaka ya ukombozi wa kifikra kwa wengi
 
RIP JPM...
Mara 100 JPM ...tena angefuta kabisa upinzani hauna maana kwenye hii Nchi...
Japo siipendi CCM lakini upinzani ni mazuzu na yapo tayari kuuza Nchi kwa mabeberu...
Upigaji upo kazini sasa...
Upinzani hauna maana kwenye hii nchi
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Kwamba alikuwa na dhati na nchi hii ila ametunyooshaa iseee hapana kwakweli apumzike tu hukohuko..
 
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241]. Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24]
Nakumbuka iyo hotuba aliitoaga Moshi akielekea monduli huku kavaa kijeshi. Cha ajabu baada ya miezi michache tetemeko lilitokea Bukoba watu wakawachangia rambirambi wahanga jamaa akaiba zote.
 
Back
Top Bottom