Recent content by Abdalla Khamis

  1. A

    Picha - Uamsho Zanzibar ngangari hadi kieleweke

    Ukisikia kuchanganyikiwa ndiko huko, baba ako wa Taifa huyafahamu aliyoyafanya na ndio maana unamtamani .
  2. A

    Serikali inawalinda wanaokashifu dini - Maaskofu

    Nyinyi viongozi wa Makanisa mnataka Serikali ifanye nini kwa kitu ambacho hata ushahidi haupo?,tokio la kuchomwa kanisa Zanzibar bado ni tete , hajajulikana msababishi, au ndio mwatafuta namna ya kuimrisha serikali ikamate tu watu kama mnavofanya?, kwa Zanzibar tunasema basi tena ,amri zenu...
  3. A

    Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

    nyie mnaongea ila hamna hata rejea sheh issa katoa evidences kibao,walitaja mpaka vifungu vya u.n na o.a.u au hamkusikiliza wala kutizama bali mlihadisiwa,maana ata hiyo faida ya kuingizwa kipengele cha dini pia alikiongelea sasa sijui tatizo nini kwenu,tusiwe wapofu wa fikra,jaribu kufungua...
  4. A

    Baada ya uamsho znz kuchoma makanisa sasa nao boko haramu nigeria wazidisha kasi ya kuchoma

    awanaodai kuwa UAMSHO ilichoma makanisa Hawafahamu na niwaropokoji tu maana hawaelezi ushahidi wa wazi, ndio akina nasikia haooo
  5. A

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Kuwa na akili, na tafakari mambo
  6. A

    The darkside of chadema's movement is here critically justified

    bila shaka naomba ifahamike kuwa,hakuna chochote kinachosemwa na cdm isipokuwa uroho wa madaraka tu.hoja inadhihirishwa kwa makini kwa kuieleza safu ya uongozi wa chadema iliyojaa undugulization na ukabila bila kuusahau ukanda kama ifuatavyo: 1:grace kiwelu ndesamburo ni mbunge wa...
  7. A

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    tusisukumwe na hisia juu ya kipigo cha dr.ulimboka and eventually reaching to a sanctity statement that the government has afrontly commited a crime to dr.ulimboka without making critical analyisis about event. Yawezekana kabisa serikali kushiriki katika tukio hilo haramu ili...
  8. A

    Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

    1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki? 2: grace kiwelu...
  9. A

    Mbowe ajibu tuhuma dhidi yake juu ya matumizi ya gari la KUB.

    nani kakuambia chadema ni chama,historia inaonyesha sehemu yoyote ukiingia mkono wa wakatoriki hakuna maendeleo.
  10. A

    Mbowe ajibu tuhuma dhidi yake juu ya matumizi ya gari la KUB.

    na bado mtamuona slaa akiingia madarakani,atatafuna kama alivyozitafuna akiwa katabu wa baraza la maaskofu tanzania
  11. A

    Prof Shivji Ametumwa na Wazanzibari?

    Nyinyi wakristo wa tanganyika kweli niwapenda haki nyinyi? Kumlaumu profesa shivji kwa kuitetea zanzibar ni kuendelea kudhihirisha chuki zenu tu kwa zanzibar,mara hii lazima tupumue tu.
  12. A

    Je Ungependelea Muundo Gani wa Muungano au Hautaki, Piga Hapa

    kwaza nakushukuru kwa kutoa sehemu hii ili tusamue kidogo kuhusu katiba,muungano ni kitu kimoja kizuri sana na mtu yoyote anaekataa muungano huwa haoneshi kukamilika ,lakini jee kwa aina hii ya muungano kweli ni haki kuukubali? Mimi binafsi siupendi tena na nauchukia ndani ya nafsi na sio...
  13. A

    Je Ungependelea Muundo Gani wa Muungano au Hautaki, Piga Hapa

    Kwaza nakushukuru kwa kutoa sehemu hii ili tusamue kidogo kuhusu katiba,muungano ni kitu kimoja kizuri sana na mtu yoyote anaekataa muungano huwa haoneshi kukamilika ,lakini jee kwa aina hii ya muungano kweli ni haki kuukubali? Mimi binafsi siupendi tena na nauchukia ndani ya nafsi na sio...
  14. A

    Dai hili la wana UAMSHO lisipuuzwe, kwani lina harufu ya madhara makubwa hapo baadae

    Licha ya majibu tuhuma zako dhidi ya watuambao unadai bado hawajatoa sababu za msingi za kuukataa Muungano ,pia maneno yako ya kifalsafa bado unaonekana wewe ni mvivu wa kusoma maandiko ya historia na mja mzito wa kuyafikiria mambo.Kama kuna mtu alitakiwa aelewe faida za Muungano mmoja wao...
  15. A

    Hali katika Baraza la Uwakilishi Zanzibar sio Shwari juu ya Muungano.

    Pole sana kwanza rafiki yangu,kwanza unaposema Tanzania haina dini huu ni uongo tu uliomo ndani ya katiba,wewe unaelimu kiasi gani ya kumshinda Dr. SIVALON?,yeye aliionesha dini ya Tanzania katika kitabu chake alichokiita"THE DARK SIDE OF NYERERE LEGACY",Tokea zama za Nyerere dini ya Tanzania...
Back
Top Bottom