Recent content by 2ntu

  1. 2ntu

    Wavaa nywele bandia wakiona picha hizi wanaumia sana

    Kweli kabisa mkuu .hii tabia Mimi pia inaniboa sana
  2. 2ntu

    Natamani kuoa ila nimekosa mke

    Mimi ni muajiliwa pia nimejiajili kwahyo nahc ni kutokana na ubize Wa majukum yangu ya kila cku
  3. 2ntu

    Natamani kuoa ila nimekosa mke

    Hii Mimi binafsi naamini 100% . Mimi binafsi nilipanga mwaka jana kuoa lakn naona cku zinaenda sipati mwanamke sahihi Wa kumuoa ,hata wanaosemaga kwamba eti wanaume tuko wengi kuliko wanawake naona ni hadithi tuu cdhani kama ni kweli na hat kama ni kweli basi utofauti ni kidogo sana
  4. 2ntu

    Huyu comedian CHAUROHO namkubali sana ,

    Hao Jamaa wote wako vzuri sana
  5. 2ntu

    Hizi sasa sifa; Baada ya kolabo na Rick Rosey, Diamond kuja na kolabo na Omarion

    Good [emoji106] [emoji106] [emoji106]
  6. 2ntu

    Hizi sasa sifa; Baada ya kolabo na Rick Rosey, Diamond kuja na kolabo na Omarion

    Sawa hater, jamaa anazidi kutusua na kuongeza fanbase ,by the way sidhani kama maneno yako yana mashiko sana kumshusha Mond. Keep on hating ,we will keep on supporting him for the good music he used to do...
  7. 2ntu

    Hivi haya magari yanatangazwa kwenye mitandao hizi ndio bei zake kweli?

    Hili swali Mimi mwenyewe huwa najiuliza sana daily. Naona bei ziko chini saaana kuliko hali halisi
  8. 2ntu

    Mama mwenye nyumba anataka kuniozesha mwanae kwa kinguvu nguvu

    Daaah yamenikuta haya mkuu. Mazingira unayoelezea na Mimi nilikua hivo hivo ila kwasasa nilishahama hapo . nahc baada ya kutoka Mimi ndo ulihamia wewe hapo
Back
Top Bottom