Njoo tunakusubir.Kwenu nije kutoa mahari
Vip wanaume wengi ni waume,?Ni kweli siku hizi kuna wanawake wengi ila sio wake
Mbona we unamsema baba wa watu baada ya kumuombeaPole Muombe Mungu utapata.
Sijamsema nimeuliza kama kuna mwanaume anakosa mke .Mbona we unamsema baba wa watu baada ya kumuombea
Hata wanaume pia wengi siku hizi sio waume.Vip wanaume wengi ni waume,?
Maan yake anakuhitaji WEWEHivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
Mi 1 wapo niuzie mdogo wakoSijamsema nimeuliza kama kuna mwanaume anakosa mke .
Wadogo zangu hawauzwiMi 1 wapo niuzie mdogo wako
Labda tuanze kwa ku orodhesha tabia au sifa zinazopelekea mtu kukosa mke.Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
I will marry when Iceman 3D marries.Hiyo ipo ni kutokana na vigezo na mazingira. Wakati watu wengi huwa wanadhani labda ni wanawake tuu ndio huolewa na watu wasio wapenda au wenye sifa wasizo zitaka kwa kuwa wao ndio wanatafutwa. Hii ishu ipo hata kwa wanaume, wengi sana walioa kwani time ilifika au walihisi hao wanawake ndio wako available au wanafaa kuwa kina mama wa house tu. ila si kwamba waliwapenda au walitimiza kila kigezo kinachi tafutwa. Na ndio maana bado ndoa nyingi zina feli
Mwalimu naye akipata mtu sahihi kwa wakati sahihi ataoa.
Ikiingia hio batch na mim nijulishe kaka.Hahahahaaa
Ww tutawasiliana ikiingia batch mpya ya walim.
Ukute ntshawishika
25
Nina 25+
Alafu ukifikisha 30+ uanze kusema huna bahati,changamsha damu bidada mume huyo!!Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?
Ujana wake alitumia na nani?Alafu ukifikisha 30+ uanze kusema huna bahati,changamsha damu bidada mume huyo!!
Kwahiyo Mimi hunitaki tena unasubil batch😀😀Ikiingia hio batch na mim nijulishe kaka.
Naanzaje kukuacha mtoto mzuri kama wewe.Kwahiyo Mimi hunitaki tena unasubil batch😀😀
Mmmmmh kuna harufu ya kutoswa hapaNaanzaje kukuacha mtoto mzuri kama wewe.
Huko kwenye batch mpya nataka kumsaidia rafiki yangu kuchagua kifaa.
Naanzaje kukutosa aggy ?Mmmmmh kuna harufu ya kutoswa hapa
Hii Mimi binafsi naamini 100% . Mimi binafsi nilipanga mwaka jana kuoa lakn naona cku zinaenda sipati mwanamke sahihi Wa kumuoa ,hata wanaosemaga kwamba eti wanaume tuko wengi kuliko wanawake naona ni hadithi tuu cdhani kama ni kweli na hat kama ni kweli basi utofauti ni kidogo sanaHivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia?
Kuna mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto, ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke?