usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,897
Halafu mashabiki wa kiba mnamtesa sana kiba mnampa majukumu makubwa atakuja kulia mbele za watu asee
Ewaaaah, umenena vyema sana mkuu.Ifike wakati mtu ukimwongelea diamond usimtaje kiba na ukimwongelea kiba usimtaje diamond.
Mbona akiongelewa msanii mwingine anaongelewa bila mwingine kupondwa.
Wote wetu wote wako vizuri
kuwaobgelea ndio utamu wa mziki wenyewe. Pasipo mashindano hakua rahaIfike wakati mtu ukimwongelea diamond usimtaje kiba na ukimwongelea kiba usimtaje diamond.
Mbona akiongelewa msanii mwingine anaongelewa bila mwingine kupondwa.
Wote wetu wote wako vizuri
Mkuu achana nao hao wanaaume wana mahaba ya dhati kwa mwanaume mwenzano..halaaf bila kumtaja kiba hawawezi bora watulize tu mishonoSasa kufanya collabo ni sifa?
Sawa hater, jamaa anazidi kutusua na kuongeza fanbase ,by the way sidhani kama maneno yako yana mashiko sana kumshusha Mond. Keep on hating ,we will keep on supporting him for the good music he used to do...Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Kwahiyo ni bora kumshirikisha M.I kuliko Omarion!!!Kolabo na maveterani ndo sifa !!!
Hujui mbinu za kujitanua wewe!! Forget kwamba unaweza kufanya Bongo Flavor yako huku ukiwa umewashirikisha akina Jux halafu ukatarajia kufika japo hapo Ghana!!Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Au M.I....Na kweli zilipendwa ashirikishe wanaovuma sasa hiv kama future
kwahyo neyo alifanya hvyo?Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Kwani King Kong manake nini jamani!!? Mana mi huwaga simuelewagi hili livuta unga hujue.Kibakuli ataishia kufanya kolabo na akina king Kong wa ilala
Zilipendwa.Yani diamond anafanya collabo na wasanii zulipendwa