Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

Hii Mimi binafsi naamini 100% . Mimi binafsi nilipanga mwaka jana kuoa lakn naona cku zinaenda sipati mwanamke sahihi Wa kumuoa ,hata wanaosemaga kwamba eti wanaume tuko wengi kuliko wanawake naona ni hadithi tuu cdhani kama ni kweli na hat kama ni kweli basi utofauti ni kidogo sana
Unahisi wapi unakosea?
 
Kitendo cha mwalimu wako kuwa na miaka 40 ni kama mahesabu haya kai ujue

Kwa hiyo wewe miaka yako ni mingapi!!
[emoji15] [emoji15]
Mkuu mbona hyo possible kabisa kuwa na mwalimu wa primary mwenye 40yrs kwa huyo binti, mfano mwaka 2000 mwalimu alikuwa na 22yrs na mwanafunzi ni 7-14yrs kwa hyo sasa hivi mwalimu atakuwa na 40yrs na mwanafunzi atakuwa na 25-32yrs
 
40-25=15..kindergarten to primary school almost 14yrs [emoji25] [emoji25] [emoji40] [emoji40]
Mkuu mbona hyo possible kabisa kuwa na mwalimu wa primary mwenye 40yrs kwa huyo binti, mfano mwaka 2000 mwalimu alikuwa na 22yrs na mwanafunzi ni 7-14yrs kwa hyo sasa hivi mwalimu atakuwa na 40yrs na mwanafunzi atakuwa na 25-32yrs
 
Back
Top Bottom