Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

MY name is kitomai. I am a private car salesman cum private property salesman who resides in Dar es Salaam . My duty is to help people sell or buy vehicles or immovable property i.e plots...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu heshima mbele!nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali,nimechukua ka mkopo na kununua gari aina ya Coaster,inakodishwa kwa tripu za hapa Dar na hata mikoani kwa shughuli za Harusi,mikutano na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba ya kupanga inahitajika Dar es salaam Tanzania maeneo ya Mikocheni, Mbezi beach, Bahari beach, Kunduchi, Kijitonyama. Bei maelewano kama ilivo hali halisi Dar. Nyumba iwe na yafuatayo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mzee!Habari! Naomba niwekee tangazo nauza gari Toyota Chaser Rafine T921 AEA iko katika hali nzuri bei 2.5M Maelewano yapo inatembea. sababu za kuuza ni haraka kwa ajili ya ada ya shule...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
It should have:- · MASTER BEDROOM PLUS 2 OTHER SPACIOUS ROOMS. · IMMACULATE GARDEN. · PLENTY OF DAWASA WATER. · LUKU ELECTRICITY. · FENCED. · CAR PARKING · location...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
There are two plots for sale in Buyuni Dar Es Salaam with clean titles, each is worth 5Million Tshs. Call 0754 85 82 45
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Je wabongo tunahitaji visa kwenda Malaysia? Na kama tunahitaji wapi tunapeleka maombi kwani kwa habari nilizonazo hakuna ubalozi wa Malaysia hapa.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Plot kubwa na nzuri size ya plots nne za ukubwa wa 80"20 ambayo iko Buzza Kipera Tandika wilayani Temeke. Iko kwenye fantastic view so inafaaa kwa ajili ya residential houses. Lakini pia yaweza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
WATU 17 wamezirai na wengine kuwa katika hali ya mstuko mkali katika zoezi la kuteguliwa kwa mabomu yaliyobaki katika kambi ya Jeshi WATU 17 wamezirai na wengine kuwa katika hali ya mshtuko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
We actually deal with various prime lands in prime region areas of DSm, Arusha, Mwanza, Mbeya and Dodoma. Plots are for:- · Housing estate (single storey structures, apartments, town house...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kindly find more information of plots in Dar es Salaam as follows:- Bahari beach plot (13acres) near the upcoming five star bahari beach hotel in Kunduchi. 18 acres in Bahari beach near the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Portable Room Air Conditioner Wadau naulizia je hii inapatikana bongo na kama ipo ni Tsh ngapi ni hayo tu wakuu msaada wenu ni muhimu! (Kumbuka: natafuta Portable maana mi ni mtu wa kuhamahama)
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tafadhali kwa anayejua contacts za Imani Madega (No. ya simu) naomba.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
This corner plot is strategically located for hotel development or office tower. It is at the junction of Kenyata and Pamba road. It has an area of 1200sqm with a clean title! Call 0754 85 82 45
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Natengeneza Computer katika nyanja zote Software & Hardware Napatikana Maeneo ya Temeke Dar es salaam Servicing of pc: (price) Desktop checking & Service Tshs. 10,000/= Laptop...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
  • Closed
Waungwana naomba mtusaidie kidogo kupambana na wizi!! Ndg. SALIM SHABAN LOSSINDILO mkazi wa Kiwalani Dar es Salaam anatafutwa na Polisi kwa kosa la wizi wa kuaminika wa kiasi cha tsh. 5,000,000/-...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
KATIKA hali ya kushangaza imetokea juzi katika maeneo ya Boko baada ya babu mmoja kutuhumiwa kuwa amebaka mama mjamzito kuachiwa huru na polisi na mama huyo kubaki kushikiliwa na polisi. Tukio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dell Inspiron 1525 laptop Inauzwa. Specification Storage: Hard disk drive 160 GB Processor: Intel (R) Pentium (R) Dual CPU T2330 @1.60GHz 1.60GHz Memory (Ram) 1010MB (1GB) System Type: 32-bit...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hivi leo nimepokea taarifa za kusikitisha za mauti yaliyomkuta Ndugu Josephat Mossy a.k.a Dojo. Marehem alikua mwanafunzi chuo cha St. Augustine Mwanza. Inasemekana aligongwa na gari siku ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafadhali kwa anayejua mahali ninakoweza kupata Mbegu nzuri ya Mbwa anifahamishe. Namuhitaji sana hata kama nikipata wawili maana vibaka wananikera sana nyumbani kwangu, ila asiwe Mbwa koko.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom