Visa ya Malaysia

sangkipsigis

Member
Dec 24, 2008
16
2
Je wabongo tunahitaji visa kwenda Malaysia? Na kama tunahitaji wapi tunapeleka maombi kwani kwa habari nilizonazo hakuna ubalozi wa Malaysia hapa.
 
Visa unaweza kupata KL International Airport, au ufunge safari ya kwenda Nairobi wana ubalozi huko.
 
Visa utapata ukifika Airport KL (on arrival). Kwa vile sisi tupo kwenye commonwealth kama wao ..visa utalipia ukifika (huna haja ya kuomba ubalozini kwao). Ukitoka nchi kama Nigeria (mojawapo) ndio unahitaji kuomba viza kabla hujaondoka. Mimi nilienda 2001 na nililipia nilivyofika KL na kuna jamaa yangu alikwenda mwaka jana ..na alilipia visa pale KL airport. Angalia hapa;

http://www.travelmasti.com/international/malaysia/malaysia-visa.html
 
visa utapata ukifika airport kl (on arrival). Kwa vile sisi tupo kwenye commonwealth kama wao ..visa utalipia ukifika (huna haja ya kuomba ubalozini kwao). Ukitoka nchi kama nigeria (mojawapo) ndio unahitaji kuomba viza kabla hujaondoka. Mimi nilienda 2001 na nililipia nilivyofika kl na kuna jamaa yangu alikwenda mwaka jana ..na alilipia visa pale kl airport. Angalia hapa;

Malaysia Visa Requiremnts, Types Of Visa, Visa On Arrival & Custom Formalities

asante kwa ufafanuzi kina...
Hatukomi kujifunza hadi mauti yatukumbe
 
Back
Top Bottom