Wajameni hivi lile tangazo la tcra kuhusu mwisho wa matumizi ya analog radio na kwamba radio zote ziwe za digital system ni lini mwisho wa kutumia hizo analog?
Nakumbuka kusikia TCRA wakitoa...
Wakuu
Sijaonekana jf kwa siku kama 7 hivi.
Niko Kigoma.
Shida hapa ni umeme na cafe inanilazimu nilipe bei tofauti tofauti.
Kama kuna umeme wa Tanesco 1,500/= kama ni Generator 2,000/=...
Nina mpwa (kike) wangu ambaye yuko Form III. Tatizo performance yake darasani inashuka kila siku. Mwanzoni alikuwa ana perform vizuri sana darasani. Lakini kadri anavyozidi kukua ndivyo grade zake...
Taarifa zimefika punde, ZAIN wameanzisha xtreme SMS kama tiGO! Hii inaonyesha kabisa kupevuka kwa huduma za mawasiliano Tanzania. Hii mitandao nayo ni ya kujadiliwa maana..... kuna mambo kama ya...
Over US $ 530,000 will be worn in a business plan competition known as Believe Begin Become which is organized by Technoserve Tanzania and Universityof Dar es Salaam Entrepreneurship Centre...
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
Mwalimu Julius Nyerere Chair in Pan-African Studies
P. O. Box 35091 Tel: 255-22-2410763, 255-22-2410500- 9, x.2326Cell: 255-754- 475 372
Dar es Salaam...
Natafuta lawyer ambaye anajua vizuri sheria za Tanzania kuhusiana na Intellectual Property (IP) rights, specifically Trademarks, Copyrights, and other related rights.
Any ideas/suggestions?
WAKUU HESHIMA IWE NANYI,
Natafuta Toyota Hiace ambayo itakua katika Good condition,bei tutaelewana tu.Please wakuu mwenye information basi anaweza kunipatia.Thanks in advance
Wakuu heshima kwenu. Tunaomba mtujulishe ni wapi mtu anaweza kupata apple IPHONE kwa bei nzuri hapa bongo, new/used? 2G / 3G. Pia mliokwisha kuzitumia tupeni wasifu wake hasa kuhusu uwezo wa betri...
Vile vifaa vya kuongea na simu(bluetooth connectivity) kwa madereva vimewasili.
Viko vya aina 4:-
1. Mirror system
2. Steering system
3. Sun visor system
4. Headset system
Ni muhimu...
This' an announcement regarding system upgrade. It's a MUST and we have to do it for security purposes.
We request for 1-2hrs of service.
Your patience is needed during this short period
Sasa ukiwa na mtandao wa TIGO unaweza kutuma message kwa sh 500 tu kwa siku. HII NI EXTREME SMS.
Tuma neno xtreme sms kwa namba 15509 na uweze kufaidika na huduma hii.
KUMBUKA NI KUTUMA...
A 2bedroom flat will be available to occupy 1.10 08 rent $700 per month,1year rent required.Send a personal message or e-mail lagatege@yahoo.com NO AGENTS PLEASE
JAMANI MAMBO VIPI WANAJAMII MIE NI MOJA KATI YA WATANZANIA WASIO NA AJIRA LAKINI NIPO KATIKA MCHAKATO MZIMA WA KUTAFUTA KAZI LAKINI NIMEONA NI BUSARA NIKIWASHIRIKISHA WANAJAMII WENZANGU KATIKA...
Msaada Mpya katika kukamilisha Project yako
Microcontrollers
Kutoka Microchip Technology PICs za 8bits na 16bits zipo
Programmer [kununua/ kuazimisha]
Vitabu muhimu vitakavyokusaidia...
Wakuu,tafadhalini yeyote ambaye anaweza kunisaidia procedure yote ya registration ya dairy produsts kule TBS and costs.
Nimechambua laws mpaka nimechoka.
Its urgent tafadhalini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.