Sita Sita
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 1,393
- 511
Hivi leo nimepokea taarifa za kusikitisha za mauti yaliyomkuta Ndugu Josephat Mossy a.k.a Dojo.
Marehem alikua mwanafunzi chuo cha St. Augustine Mwanza. Inasemekana aligongwa na gari siku ya Jumapili. Marehem alikua rafiki wa watu wote na alipendwa na wengi.
May his soul rest in peace
Marehem alikua mwanafunzi chuo cha St. Augustine Mwanza. Inasemekana aligongwa na gari siku ya Jumapili. Marehem alikua rafiki wa watu wote na alipendwa na wengi.
May his soul rest in peace