Shalom Waungwana. Tafadhali sana naomba kwa yeyote mwenye email za watu hawa anisaidie:
James Mbatia - Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe.
Mustafa Sabodo - Mfanyabiashara.
Mohamed Dewji - Mbunge wa...
Naomba msaada kama kuna mwanajamii yeyote anayejua mahali/benki wanapokubali kubadilisha US Dollar za mwaka 1999. Kila duka na benki nayoenda wanasema hawabadilishi za 19xx.
Wana JF, kuna mtu yeyote anafahamu gharama za malipo ya gari (used) baada ya kufika bandarini. Mfano umeagiza used car kutoka Japan ikiwa imekwisha kulipiwa gharama za usafirishaji (freight cost)...
Iwe maeneo ya Mbezi Beach. Iwe na tittle deed.Budget USD 90,000.
Inahitajika haraka sana. Mwenyewe anayo tuwasiliane kupitia 0717114409 au 0755312233 au tuma maelezo na picha katika email address...
Ipo maeneo ya buguruni,,ni mizuri sana,,bei nafuu na ipo ya kutosha,,wale wenye kuporomosha magorofa na wenye kujenga nyumba za kawaida,karibuni sana.
Namba ya simu ni 0713327429.
Asanteni sana.
MATUKIO ya ukatili kwa watoto yamezidi kuutikisa Mkoa wa Kagera baada ya mkazi wa kijiji cha Kyerere kata ya Kamuli wilaya mpya ya Kyerwa (jina linahifadhiwa) kudaiwa kukata kichwa cha mtoto...
URGENT!!! PLEASE CIRCULATE to your friends, family and contacts.
SENT AS RECEIVED.
In the coming days, DO NOT open any message with an attachment called:
BLACK MUSLIM IN THE WHITE HOUSE...
HOUSE FOR RENT Located at TABATA bima Msimbazi
Good House located at Tabata bima Msimbazi in cool environment
This house have fence
MASTER ROOM - 1
GUEST ROOM 2
SIITING ROOM 1
DINNING...
Aliye kuwa meneja wa zamani wa Triple A Tanzania (James Mnomba Njaidi) amefariki leo asubuhi (27 Aug 2010) uko Ireland alikokuwa akiishi. Habari zaidi tutawajulisha baadae.
A newly built 2 medium Luxury giving you the comfort , fully furnished family houses. Ideal location: close to White Sands Hotel, Jangwani Sea Breeze, Beach Comber and Berinda. Each house...
Habari wadau,
naomba mnisaidie, natafuta sehemu ya ku supply lunch, yaani namaanisha niwe napika kwangu tehn napack kwa lunch box and then na supply. tafadhali ukisikia au kama unajua sehemu...
Viwanja vinne vinauzwa vimeunganishwa pamoja viko mbezi makabe kilomita 7 from main morogoro road kila kimoja kina ukubwa 22x25meter bei ya kila kimoja 2.5M unaweza nunua vyote kwa pamoja au...
Kwa wale wanaosafiri safari za kigali nk,Kampuni ya ndege ya
Rwandair imetoa offer ya 429USD kwenda na kurudi
offer hii ni mpaka Sept 30/2010,more info Tel 212402
Karibuni Kigali
INSOZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.