Limited. Model ya 1990. Inafanya kazi kama tax. manual. Haijawai kupata ajari. Bei yake sh 2.8mil. kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409 au 0755312233
If you have been considering selling or renting your property in Dar es Salaam, we want the opportunity to talk with you. If you are interested in selling or renting your property, now is the...
Habari JF?
CRANK BOX NI JENERETA NDOGO YA MKONO YENYE UWEZO WA KUWASHA TAA 3 ZA LED.
HAITUMII BETRI, MAFUTA YA TAA, UMEME WA JUA AU WA TANESCO KUCHAJI.
Crank Box inatumia nguvu zako tu!!
Ina...
Extremely well paying position available to right person in an international company. Must have sales and marketing experience. Sales trainning a plus. If you have the desired qualifications email...
na tafuta nyumba ya kupangisha tanga mjini,iwe na vyumba visivyopungua 4,sebule,jikoni,na kama itakuwa na master bedroom ,itakuwa nzuri zaidi.kama mtu ana contact please let me know.
thank you.
Nyumba inapangishwa kwa Tshs 150,000/= kwa mwezi. Ipo maeneo ya Majumbasita - airport Dar es salaam kabla ya kufika Banana.
Hadhi: 1. Ina vyumba 2 vya kawaida vya kulala, masterbed room 1...
Jamani mimi naipenda ile nyumba inayoonekana kwenye tangazo la Sajili na Ushinde la Tigo. Kuna mtu mwenye picha inayoonekana vizuri ya nyumba ile au amabaye anafahamu naweza pata wapi ramani yake?
popular as limited, 1991 model, manual transmission suitable for Tax business, it already on business plate nos. Going cheap only 3mil. contact 0717114409/0755312233
GDI/io 1999 model, automatic, white, 5 doors, Reg no.T...AUP. or it was 1st reg on 14/04/08, exterior and interior condition is good, no cracks on the windscreen and mirror or no any rust. It has...
wakuu nimevutiwa na gari aina ya subaru forester so nataka niinunue, naomba wenye m aelezo ya kina juu ya gari hizi na mazingira ya tanzania wanijuze, nitashukuru kwa mchango wenu
nb: nataka...
Kama una shughuli yoyote usisite kuwasiliana na Bilali Mashauzi.Ni mtanashati na mchangamfu sana, Bilal ni kiongozi wa vijana wote na yuko juu.Pasipo na Bilal jua ya kuwa shughuli yako haijakamilika!!
Toyota collora 110-white (1999) (tzs7.4mil), and
toyota corsa - silver (1996) (tzs6.9mil)
both imported june 2010 from japan.
Call: 0715586302/0713299420/0753586302
Email: teddyfide@gmail.com
u...
Habari JF?
CRANK BOX NI JENERETA NDOGO YA MKONO YENYE UWEZO WA KUWASHA TAA 3 ZA LED.
HAITUMII BETRI, MAFUTA YA TAA, UMEME WA JUA AU WA TANESCO KUCHAJI.
Crank Box inatumia nguvu zako tu!!
Ina...
haloo wana jamvi nahitaji mtu anayeweza kunipa mkopo wa milion kumi kwa mwezi mmoja tu interest 10% baada ya mwezi mmoja narudisha 11M.kama yupo rusha namba zako hapa au piga 0754552128
PROMOSHENI BABU KUBWA!!!
CRANK BOX
Kutoka Holland ni jenereta ndogo ya mkono yenye uwezo wa kuwasha taa 3 za LED.
Crank Box haina kabisa gharama za matumizi.
Ni mbadala wa matumizi...
Jamani wana jf nimetingwa nauza kiwanja na matofali kama 580, kiwanja kina ukubwa wa 25mx20m na ninauza kwa 2,800,000/=, location: kiwanja kipo kivule kitunda ukifika Banana unashuka then unapanda...
nissan sunny for sale
year make: 2001
color: Silver
cc 1500
price Millions 6.6 with registration.
imetumika 2months
For serious customer CONTACT: 0713 379 972
Namuombea Mungu amuweka mahali pema Amani Nzigule,mwanaharakati mahiri ambaye alitetea demokrasia kwa nguvu zote hapa nchini,kwa wale waliokuwa Bima enzi hizo nafikiri mtakuwa mnamkumbuka Amani...
Habari wakuu,
Naomba mwenye info kuhusu car dealer / agent yeyote anayeratibu ununuzi wa gari (used in japan or tz) katika malipo ya awamu (esp. hapa DSM) anijuze tafadhali. Mfano gharama ya ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.