hello wanaJAMVI,
nauza kiwanja kilichopimwa,kina hati na kinalipiwa kodi ya ardhi kama kawaida.kina advantage nyingine kwamba kipo mwishoni na kuna eneo ambalo halijapimwa na halina owner(linamilikiwa kwa kugawana na ownwer wa land ya upande wa pili),ni tambarare na maeneo haya yameanza kuendelezwa kwa kasi.
Bei ni 10M hakipunguzwi wala hakiongezwa hata cent tano. if interested plz niPM.
KIPO BUYUNI MBELE YA PUGU SEC ILA KABLA YA CHANIKA.....SQ M 2000. ndo ukubwa wake.
nauza kiwanja kilichopimwa,kina hati na kinalipiwa kodi ya ardhi kama kawaida.kina advantage nyingine kwamba kipo mwishoni na kuna eneo ambalo halijapimwa na halina owner(linamilikiwa kwa kugawana na ownwer wa land ya upande wa pili),ni tambarare na maeneo haya yameanza kuendelezwa kwa kasi.
Bei ni 10M hakipunguzwi wala hakiongezwa hata cent tano. if interested plz niPM.
KIPO BUYUNI MBELE YA PUGU SEC ILA KABLA YA CHANIKA.....SQ M 2000. ndo ukubwa wake.