Muunge mkono mjasiriamali kwa kununua vitanda toka workshop yetu iliyopo sinza.wasiliana nasi kwa email; akamanyusi@yahoo.co.uk
Eeh Fidel mpaka leo hujajipanga? mkuu utazeekea kwa wazazi changamka mpwa.Sisi wengine tulipo anza kazi tu cha kwanza kununua ni kitanda.Mkuu Manyusi ungweka hata angalau bei ya kitanda watu tujipange ndo tunaanza life.
Eeh Fidel mpaka leo hujajipanga? mkuu utazeekea kwa wazazi changamka mpwa.Sisi wengine tulipo anza kazi tu cha kwanza kununua ni kitanda.
Wakuu bei zake ni Tsh 350,000 kwa 5x6 na Tsh 400,000 kwa 6x6 hicho sio rangi yake hiyo mpauko hapo kilikuwa kinaandaliwa kupigwa msasa then vanish.Karibuni wakuuWeka bei mkuu, nimevipenda hata mimi, au vipi Mkuu? Wewe weka uone kama hatujajilipua mapema. ni vizuri, shida ni bei, maana unaweza ukaanza kumtafuta mhusika kumbe bei hatuiwezi wengi.
namba ya simu 0713876210tunaomba ututumie namba ya simu
Muunge mkono mjasiriamali kwa kununua vitanda toka workshop yetu iliyopo sinza.wasiliana nasi kwa email; akamanyusi@yahoo.co.uk
KITANDA kizuri mbona ka papi nyingi .kitaweza kweli mikiki ya vijana,je una waranty
:target: