Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natumai Wana JF Wote mu Wazima Wa afya: Natafuta Fremu Kwa Ajili Ya Biashara Kiruvya, Fremu iwe na sifa zifuatazo: Iwe Sehemu ya wazi barabarani ( Sehemu ambayo ni Visible) Iwe sehemu nzuri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta computer desktop iliyotumika (used) mwenye nayo naomba nijulishe
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kipo eneo la Madale, kina ukubwa wa ekari tatu. Bei milioni sitini (60,000,000/-). Kwa yeyote anahitaji kununua kiwanja maeneo hayo, tuwasiliane kupitia simu 0717114409 au 0755312233
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1. Iwe eneo la Masaki au Osterbay. Nyuma ya kisasa, iwe na vyumba vitatu vya kulala(Master bedroom Inclusive), fenced, n.k. Budget USD 3000 kwa mwezi. 2. Iwe eneo la chang'ombe, vyumba vitatu, ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1. Toyota Noah-Budget 7mil.(Hata kama imetumika mwaka 1.) 2. Toyota Noah ambayo haijatumika TZ, iwe 4WD. 3. Toyota Landcruiser Prado,kuluger Isuzu Bighorn, not below 2000, budget 17.5mil 4...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina wageni wanatarajia kufika mjini Dar mapema mwakani. Nitahitaji nyumba mbili au apartments mbili zenye umeme wa uhakika, AC, at least 2 bedrooms and at least 2 bathrooms, ziwe full furnished...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
We have connection with the world's best suppliers of Tractors, from Massey Ferguson and John Deere to New Holland and beyond. Whether you are looking for the latest production model for...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
1. Master bedroom-with wardrobe,AC,Europen type toilet and bath tub-cold /hot water available 2.2 normal bedrooms 3.1 very Clean kitchen with gas cooker inside 4.1 common guest bath/toilet...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaohitaji sehemu ya kujisitiri kwa muda nyumba ndio hiyo: 1)1 Bedroom self contained/AIR CONDITIONED 2)Big talking room with big windows 3.)3 normal bedrooms 4)1 normal kitchen 5) 1 guest...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unapenda kuwatangazia watanzania wanaoishi katika jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano wa watanzania wanaoishi katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
tshs 2.3mil. Bei nusu bajaji. Maana siku hizi unahitaji kuwa na 4.5mil ili upate bajaji moja. Ipo katika hali nzuri. Haijawai kupata ajari. Ipo Dar es salaam, Upanga. Ni toyota corolla AE 90 au...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
MAREHEMU SEIF RAMADHAN ATHUMAN JUMUIYA YA WATANZANIA UNITED ARAB EMIRATES INATOA POLE KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WA MAREHEMU NDUGU YETU BW. SEIF RAMADHAN ATHUMAN MKAZI WA ILALA QUARTERS DAR...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Thursday, August 19, 2010 2:41 AM Mwanaume mmoja nchini India amefariki dunia baada ya simu yake aina ya Nokia kumlipukia wakati akiwasiliana na mtu mwingine kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Baada ya miaka 13, Gregory Taylor yuko huru tena Friday, August 20, 2010 3:48 AM Mwanaume mmoja wa nchini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepatwa na mshituko mkubwa...,baada ya kupokea habari za msiba mzito katika sekta ya burudani,mmiliki wa Mzalendo Pub Millenium Towers Ndugu yetu Costa Mowo hatunaye tena..., Costa amefariki...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Dell Inspiron 640m RAM: 1GB HDD: 120GB Price:600,000(laki sita)TSHS ONLY. Mob:0656-621964
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF nasikitika kutangaza kifo cha Silas Thomas Kibwana wa Temboni kilicho tokea juzi majira ya saa kumi na moja jioni hivi. Marehemu alikua mkutanoni Morogoro. Akiwa hotelini ghafla...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Zipo kimara suka. Mita chache kutoka barabara kuu(Morogoro Road) Zina chumba kimoja cha kulala, sebure, choo na bafu na jiko ndani kwa ndani au self contained. kodi kwa mwezi sh 150,000/-. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dear esteem friends; Thank you for your support and posting your classifieds on Kijijibay!!!. Attached please find a soft copy of our latest Classified Newsletter that lists items available for...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Toyota Ipsum ambayo imetengezwa mwaka 1998 inauzwa kwa bei poa. Tshs 8 m. Kuna kuelewana kwa mapunguziano. Mpigie mwenye na 0756769741
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom