toyota mark 2 gx 110
2004 model
metalic color
1990CC
75,000 odometer
sports rims, CD changer, TV, airbag, ABS, PS, PW,
bumper iligongwa kdg but imerudishiwa vizuri na ukitaka unawekewa mpya...
Ninatafuta aerial maps za Kata ya Kimbiji, hususan zile zinazoonesha kijiji/mtaa wa Kizito Huonjwa. Nafahamu Wizara ya Ardhi ina aerial maps za Tanzania yote. Je, wapi ninaweza kupata za Kimbiji...
Natafuta nyumba ya kupanga ambayo ipo tayari kwa kuhamia sasa hivi.
iwe na vyumba 2 vya kulala, sitting room, choo/bafu, jiko,maji, umeme,
parking ya gari kuanzia 2, na usalama.
maeneo...
wakuu,nimekwama kumalizia kakibanda kangu ili nihame kwa mama mwenye nyumba!!tatizo ni wapi ninaweza kukopa tiles na kulipia kidogokidogo nimalizie hii ishu yangu!!
wasalaam
HOUSE IS AVAILABLE FOR RENT .Please Click http://www.tanzaniarealestates.com/KDR4001.htm
Physical Address: Area: Ununnio Beach ,Boko Basihaya near Kunduchi.
Rental Price: 500,000 Shillings...
Yeyote anayehitaji huduma ya matibabu na maendeleo ya mifugo ya aina zote basi ninaomba aniPM kwa mawasiliano zaidi.
Nashukuru sana kwa ushirikiano na mnakaribishwa!
Kila la kheri!
Joyce Joliga,Songea
KATIKA hali ya kusikitisha, mwanaume aliyetambuliwa kuwa ni Mwidadi Hamisi,(32) mkazi wa Bombambili mjini Songea, mkoani Ruvuma, amemnyonga mtoto wake wa umri wa miaka...
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema makali ya mgawo wa umeme yaliyotangazwa juzi, yamepungua kutokana na...
Proffessor Karim K.N.HIRJI amefariki, mazishi yake kesho 16/03/2010 huko Njiro Makaburini, Arusha!
Hirji alikuwa Msomi na Mweledi aliyebobea, akiwa amefanya kazi nyingi za utafiti.
Alipata kuwa...
Na Mwandishi Wetu
Wakati jamii ya muziki wa Kizazi Kipya na mashabiki wao wakiwa bado katika maombolezo ya msiba wa Julieth D. Mrina Pendo (24), kubwa zito limeibuka kuhusu anayetajwa kuwa...
(Amendment ya tangazo la tarehe 15.03.2010)
Natafuta nyumba ya kupanga ambayo ipo tayari kwa kuhamia sasa hivi.
iwe na vyumba 2 vya kulala, sitting room, choo/bafu, jiko,maji, umeme,
parking ya...
YOU ARE ALL CORDIALLY INVITED TO:
THE SECOND JULIUS NYERERE INTELLECTUAL FESTIVAL WEEK
APRIL 12-15TH, 2010
NKRUMAH HALL UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
HIGHLIGHTS:
A WEEK OF REFLECTIONS ON...
WAKATI polisi ikihaha kujikwamua na tuhuma za mauaji ya dereva wa teksi kwa mgongo wa majibu ya daktari, familia ya marehemu imekataa uchunguzi wa maiti ya ndugu yao kufanywa bila ya...
MWANAMKE mmoja mkazi wa Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam, anashikiliwa na polisis kwa tuhuma za kumkatakata mtoto wa mdogo wake mwilini kwa kutumia wembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.