Ni mpya na haijawahi kutumika unaweza kuiona
Nina suggest kwa mods mtu ambaye anaweka tangazo lake hapa bila bei lifutwe. so you need PM?
Ni mpya na haijawahi kutumika unaweza kuiona
weka bei.......ningependa kuiona na mimi pia
Unataka Bei gani?Ni mpya na haijawahi kutumika unaweza kuiona
Unataka Bei gani?
du sina picha na niko mbali nayo sana,na kuuzika hilo halina mjadala itauzika tu hata kama nisingeweka humuweka picha basi au huamini kama itauzika ukitaja bei
du sina picha na niko mbali nayo sana,na kuuzika hilo halina mjadala itauzika tu hata kama nisingeweka humu
Weka bei mama, uwasaidie wadada wenzako, mimi nikiwa nayo hiyo mpira nitaangalizia nyumbani, siyo bar tena.
mimi sipo Bongo, nataka kumnunulia ndugu yangu yupo huko. nipe model ili tuzungumze. au uniPMnapenda ukaione kwanza ndio tuongee bei