Pole sana.tatizo siyo biashara .tatizo n mfanyabiashara.Bi Mkubwa wako anafanya biashara akiwa hana wasi wasi wala woga wa kufilisika,anajua kuwa ana mtoto aliye nje ya nchi anayejali.(trust me i have been in ur shoes-and it doesnt feel good)
Tafuta vitendea kazi vya ujenzi .eg concrete mixer,shindilia,au machine ya terrazo. kama una uwezo or gari la kubeba zege.hivi ni vitu vya kukodisha na vinalipa.na ukirudi after hiyo miaka5 utavikuta.
Biashara za kusafiri zinahitaji kijana na asiye na matumizi makubwa.watu wazima sometimes wanasaidia ndugu zako kwa pesa ya biashara akijua kuwa wewe upo na utatuma tu Dola/Pound or Euros.