A super large plot measuring about 2.24 Ha is ready for sale. This plot is allocated along the Arusha- Dodoma road, about 10km from the city center and about 2 km from the Arusha Airport. Arusha...
hello wanaJAMVI,
nauza kiwanja kilichopimwa,kina hati na kinalipiwa kodi ya ardhi kama kawaida.kina advantage nyingine kwamba kipo mwishoni na kuna eneo ambalo halijapimwa na halina...
Mkuu napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa ndugu yetu na rafiki yetu kwenye JF, kwa kuweza kufaulu viva voce examination na kutunukiwa shahada ya juu (Doctor of Philosophy) PhD. Najua...
please nahitaji toyota rav4, 5doors rangi yeyote, ila milage isizidi 120,000km, na bei pia isizidi 10m. iwe katika hali nzuri haijapata ajali ikaumiza vifaa vya ndani, mikwaruzo, dents hizo ni...
(Godwin) White 1995 Automatic Petrol V6 1998cc 122798 km 5doors Full AC Sports Lights with Bull Bar Duty Paid Price 7.5mil. Mawasiliano. 0717114409/0755312233
IWE NA UWEZO WA KUHIFADHI MAGARI MADOGO YASIYOZIDI 200
IWE DAR ES SALAAM KANDOKANDO YA BARABARA (MAINROAD)
IWE KWENYE UZIO (FENCED)
Kwa mawasiliano ya haraka niandikie kupitia...
Vipo Mbezi juu km 4 kutoka Bagamoyo Road. Size 20 x 20 kwa shs 7.5mil au 40 x 20 kwa shs 15mil. Havina Hati miliki certificate of occupancy. Utauziwa chini ya usimamizi wa serikali ya mtaa. Vipo...
KUTAKUWA NA KIKAO CHA WANAIRAMBA HAPO TAREHE 24 MAY SIKU YA JUMAMOSI (jioni) , WANAIRAMBA WOTE (pamoja na vikundi mbalimbali mfano; vya kuzikana, kusaidiana nk) WOTE WANAKARIBISHWA KUHUDHURIA ...
WADAU NaTAFUTA GARI NDOGO YA BEI NAFUU GARI KAMA MARK 2 ,CRESTA AU CHASSER GX 100,VITS AU CARINA ILIYO KWENYE HALI NZURI
OFA YANGU NI MILION TANO ZA KITANZANIA YEYOTE MWENYE GARI YA NAMNA HIYO...
Wadau naomba mnisaidie modem ya kampuni ipi itanifaa ..zantel,sasatel,vodacom etc na iwe bora bt gharama nafuu kuimanage...nipen mawazo kesho nikachukue .
Salaam wa wanaukumbi
naomba kujulishwa kama hapa dar es salaam kama kuna flat zinauzwa kwa njia ya malipo ya instlament yaani kama kuna mjenzi anajenga jengo la ghorofa kumi na zaidi na huwa...
Habari hii nimetumiwa. Baada ya kuiusoma nikaona ni vema niilete hapa ili wana jamii muine what next to do. Mie nimefanya part yangu. I do not knwo the baby lakini imenigusa ku save life.
CONTACTS...
Wadau,
Hivi karibuni nimekubwa na usumbufu wa panya. Wanatoboa madirisha na kuingia ndani nyakati za usiku. Nimejitahidi kupambana, ila nimeona paka atakuwa suluhisho la kuaminika. Nikiweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.