kiwanja kinauzwa bunju

kiwanja kinauzwa bunju

mseseve

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
511
Reaction score
89
ukubwa ni nusu eka bei 3ml ila maelewano yapo na kina hati kabisa.kipo karibu na barabara. Contact 0714812375 or 0784562131
 
mmmh...nusu eka milioni tatu...kina hati kiko Bunju. Ni-pm plot no, lot no ili kama ni deal kweli tufanye biashara fasta!
 
bunju ipi???? karibu na barabara ipi??? naomba kujua plz 2 make deal faster
 
si ametoa no za cm hapo? ruka naye tuu, ila kiwanja chenye hata bunju kwa 3m:nono::nono:
 
HATI MAANA YAKE NI KARATASI ALIZONUNULIA KWA ALIYEMUUZIA MWANZO NA ZIMESAINIWA NA SERIKALI YA KIJIJI....kwa lugha zetu
na si hati za wizara ya ardhi(KAMA NIMEELEWA SAWIA)
 
Back
Top Bottom