Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Friji inauzwa ipo Mbagala Rangitatu. Double door, double compresor. Ipo ktk hali nzuri na inatumika. Bei ni Tsh. 300,000.(laki tatu) Kwa mawasiliano 0752 376878.
Friji inauzwa ipo Mbagala Rangitatu. Double door, double compresor. Ipo ktk hali nzuri na inatumika. Bei ni Tsh. 300,000.(laki tatu) Kwa mawasiliano 0752 376878.
fafanua vizuri basi mkuu....
kuweka namba za simu sio hoja.
Mbagala?
Ipo dukani au kwa mtu, imetumika miaka mingapi, compressor imefunguliwa mara ngapi, ni ya kampuni gani?
Friji Mbagala? kuhusu mambo ya usafi ndani uko vipi? mende je?
ahahahahahha hapo kwenye mende umeni-vunja mbavu zangu dah...wabongo tunamambo sanaFriji Mbagala? kuhusu mambo ya usafi ndani uko vipi? mende je?