Friji inauzwa.

Mwendabure

JF-Expert Member
Mar 10, 2011
2,138
1,040
Friji inauzwa ipo Mbagala Rangitatu. Double door, double compresor. Ipo ktk hali nzuri na inatumika. Bei ni Tsh. 300,000.(laki tatu) Kwa mawasiliano 0752 376878.
 
Mbagala?
Ipo dukani au kwa mtu, imetumika miaka mingapi, compressor imefunguliwa mara ngapi, ni ya kampuni gani?
 
Friji inauzwa ipo Mbagala Rangitatu. Double door, double compresor. Ipo ktk hali nzuri na inatumika. Bei ni Tsh. 300,000.(laki tatu) Kwa mawasiliano 0752 376878.

fafanua vizuri basi mkuu....
kuweka namba za simu sio hoja.
 
Mbagala?
Ipo dukani au kwa mtu, imetumika miaka mingapi, compressor imefunguliwa mara ngapi, ni ya kampuni gani?

Mkuu! Friji ipo Mbagala kwa mtu na ipo ktk hali nzuri. Compressor hazijafunguliwa hata! Tuwasiliane mkuu!
 
Friji mbagala....!!! haiingii akilini kwa mtu kwamba friji ya mbagala inauzwa jf...haina mabaki ya mabomu???????????????????????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom