Kiwanja kinauzwa bei poa

Kiwanja kinauzwa bei poa

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,115
Reaction score
346
kipo Mbezi Juu. kilomita 2 kutoka Massana Hospital. Kina ukubwa wa sqm 1680. Kina Hati Miliki. Ukiwa katika hicho kiwanja unaitazama bahari kama inavyoonekana katika picha. Bei shs 60mil. Kwa maelezo piga simu 0717114409
 

Attachments

  • DSC09180.JPG
    DSC09180.JPG
    26.9 KB · Views: 84
kipo Mbezi Juu. kilomita 2 kutoka Massana Hospital. Kina ukubwa wa sqm 1680. Kina Hati Miliki. Ukiwa katika hicho kiwanja unaitazama bahari kama inavyoonekana katika picha. Bei shs 60mil. Kwa maelezo piga simu 0717114409

Lol! Hii bei mkuu si ni kwa ajili ya mafisadi tuuuu!
 
mil 60 kiwanja tu??? kwe;i tz maisha bora kwa kila mtz!! anyway utapata mteja!!!
 
kipo Mbezi Juu. kilomita 2 kutoka Massana Hospital. Kina ukubwa wa sqm 1680. Kina Hati Miliki. Ukiwa katika hicho kiwanja unaitazama bahari kama inavyoonekana katika picha. Bei shs 60mil. Kwa maelezo piga simu 0717114409

Ufisadi Umepandisha sana Gharama za Maisha. Naamini Kuna watu wenye uwezo kutoa hizo 60 Milions. Walalahoi inabidi Tuibe tu ili tuweze kumudu Maisha haya ya Kifisadi
 
kipo Mbezi Juu. kilomita 2 kutoka Massana Hospital. Kina ukubwa wa sqm 1680. Kina Hati Miliki. Ukiwa katika hicho kiwanja unaitazama bahari kama inavyoonekana katika picha. Bei shs 60mil. Kwa maelezo piga simu 0717114409
yes!! i love my country
 
kipo Mbezi Juu. kilomita 2 kutoka Massana Hospital. Kina ukubwa wa sqm 1680. Kina Hati Miliki. Ukiwa katika hicho kiwanja unaitazama bahari kama inavyoonekana katika picha. Bei shs 60mil. Kwa maelezo piga simu 0717114409

kwa hali hii ujenzi usio na mipangilio hautaisha Dar es salaam
 
Mhhh! Kweli maisha kila mtu ana definition yake
 
Mkuu..... Goba kumefika milioni 60 siku hizi? Du! kweli ardhi inapanda....Mimi nina chakwangu kipo salasala kinzudi bei milioni 9 kina approximately sqm 800 ni umbali wa km 4 kutoka barabara ya lami ya kwenda tegeta. Hakina title deed na ndio maana bei imepoa. anayehitaji aniPM.

NB: Ni mali yangu mwenyewe.
 
Kitomai, kweli kuna watu humu JF unawauzia hizo property zako? Sijawahi kuona bei ukitangaza ikiwa ni afueni kidogo..

Tanzania na ukubwa wake, Real Estate, esp. Ardhi ni juu kuliko hata Ubelgigi ambayo ni kama mkoa moja hapa kwetu, bei zao hazifiki hizi za kwetu hapa!
 
tahadhari
viwanja vingi vya Eneo hilo vina migogoro sana na kabla ya kununua angalizo wasliana na wazee wa mtaa nenda kwenye search mashine angalia kweli kiwanja chake ndio ufikirie kununua kuna wengi wamelia na wanajuta kuendelea kulia viwanja vya kuanzai tankibovu mpaka tegeta ni msala upitao..not this..akikisha umepata uhakaika na wakprintie na ucuhukue jina la alieprint mashine
thnx
 
jamaa anayekiuza alikipata kwa bei gani serikalini? duh ama kweli ujanja kuwahi, aliyenacho huongezewa, aliyeshiba hamjui mwenye njaa na mjini shule tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom