Katika kuendeleza watanzania kuweza kutumia usafiri wa ndege kwabei rahisi
kampuni ya ndege ya rwandair imetangaza promo kwa kila m tanzania
sasa nauli za kwenda bujumbura tu usd 350 tax inclusive...
Habari zenu wana JF,Nyumba ya kisasa ina master room 1,vyumba vya kawaida viwili,ina sitting room,dinning room na frem ya duka pia ina umeme,ni self container vilevile ina hati inauzwa iko tabata...
Wakuu poleni na kazi!natafuta frem ya kufungua biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi(hardware) mitaa ya kuanzia tangi bovu hadi bunju!iwe along the road!nawasilisha.
Mashamba, mashamba, mashamba, kama unanahitaji shamba Bagamoyo barabara inayojengwa kuelekea msata maeneo ya kidomole Km 2.5 toka barabarani kuu bei ni 1.2m kwa heka zipo heka 20, ni pm
Habari wadau,
Ninauza gari yangu Toyota Cami (Sports Model - 1999) kwa bei ya chini kabisa … 7M tu
Specifications:
Iko katika excellent running condition (Imetembea KM 77,000 tu)
5-door...
Ndugu wanaJF,natafuta chumba cha kupanga maeneo ya makongo juu karibu na chuo kikuu ardhi cha bei kuanzia 35000 hadi 50000,kwa mwezi! Kwa mwenye kufahamu naomba anijulishe kwenye...
Make: HP
Model: Pavilion dv6-323nr Entertainment PC
Processor: Intel(R) Core(TM) i3 CPU M370 @2.4GHz 2.4GHz
RAM: 4GB
64 bit Operating System
HDD: 320GB, 5400RPM
Genuine windows 7 Home premium...
habari wana JF, kama mnavyoona picha hapo juu gari inauzwa kwa Tshs Mil 20.
Make: Toyota
Year of Manufacture : 2000
Colour: White
Fuel used: Petrol
kwa yeyote anayehitaji ani PM ili aweze kuja...
Sasa tumefungua kampuni kwa jina la Nsamy Real Estate and General Suppliers Ltd, kampuni inahusika na uuzaji wa viwanja, majumba, kupangisha nyumba za biashara na makazi, uuzaji wa mashamba. Kwa...
samahanini kwa usumbufu, naulizia ofic za family health international (FHI) zipo wapi hapa dar? naomba mniambie nipande gari za wap na nshukie wap plz, nahitaji kwenda huko kesho
Habari zenu wakuu.Nauza computer yangu aina ya DELL OPTIPLEX GX520,HDD 160gb,3.0Ghz,512 RAM nakupa na modem ya sasatel,sub-woofer ndogo na CD za windows,drivers na software nyingine.BEI...
A place known as Boko juu or Boko Chama, one Kilometer from Bagamoyo rd.
Good landscape and 25 to 22 metres.
Price: TSH 3,000,000
Phone: +255 712 597 718