tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
Habari zenu wana JF,Nyumba ya kisasa ina master room 1,vyumba vya kawaida viwili,ina sitting room,dinning room na frem ya duka pia ina umeme,ni self container vilevile ina hati inauzwa iko tabata misewe.BEI kuanzia tshs.40 milioni maongezi yapo.Mawasiliano 0715404808.