Mkuu tulienda na mshikaji kununua hapo Freedom Electronics kwa bei ya 700,000 tukapewa na warranty ya 3 years huyu jamaa naona ameweka na cha juu.Mkuu hiyo kitu freedom electronics wanauza 700.000 mpya na 3years warranty.
Mkuu hata hao dealer wa Samsung bado wako juu nenda Freedom Electronics utapata 32 inch kwa 700,000 ikiwa ni 3D bei ndio inaongezeka kidogoBei kwa Samsung dealer ni 950,000/- ukienda na cash inapungua mpaka 880,000/- sasa mbona unataka kutuumiza mkuu ?
Mlimani City unawekewa na bei ya pango juu maana hiyo hiyo TV unayouziwa Mlimani City ukienda sehemu zingine town unauziwa kwa bei ya chini ambapo difference unaweza kukuta 300,000 ambayo unakuwa umesave vizuri sanaInaonekana ww uliuziwa Mlimani city kwa 1.5m sasa unataka uiuze kwa bei ya chini kidogo,hiyo ni bei ya lcd 3d hd iliyotumika kidogo au LED tv iliyotumika kidogo.
Hilo duka la Freedom electronics lipo mtaa gani au ndio lile la pale Kisutu/Zanaki ukitoke Elia complexMkuu tulienda na mshikaji kununua hapo Freedom Electronics kwa bei ya 700,000 tukapewa na warranty ya 3 years huyu jamaa naona ameweka na cha juu.
Mkuu hata hao dealer wa Samsung bado wako juu nenda Freedom Electronics utapata 32 inch kwa 700,000 ikiwa ni 3D bei ndio inaongezeka kidogo
Mlimani City unawekewa na bei ya pango juu maana hiyo hiyo TV unayouziwa Mlimani City ukienda sehemu zingine town unauziwa kwa bei ya chini ambapo difference unaweza kukuta 300,000 ambayo unakuwa umesave vizuri sana
Jamani mmetaja Mlimani City, eeeh wafanyakazi ni wizi pale, hao jamaa naona wanaongeza bei kufidia wanavyoibiwa.
Kuna siku nilikuwa natazama home theater, bei yao ilikuwa kama 750K, kidogo si kaja mhudumu wa pale, akanambia "mama umeipenda hii?" nikamwambia bajeti yangu ndogo, akanambia "bajeti yako ngapi mama", nikamwambia aaah wee wacha tu, akanambia "mama mie ntakutolea hii kwa laki nne". Nikamwambia ntarudi. Ndio kimoja, niliondoka mbio nikifikiri ni tapeli anataka kuniingiza mjini, heee, kufika nyumbani si nnhadithia nimekutana na tapeli Mlimani city anajifanya mhudumu, nikawaeleza kile kisa, wakanambia hiyo ndio kazi yao pale, wanaiba wanakuletea mpaka kwenye gari.
Sasa Kwa hayo mnategemea bei ziwe kama mjini? Hii nchi yetu ina matatizo makubwa sana aliyotuachia nyerere.
Jamani mmetaja Mlimani City, eeeh wafanyakazi ni wizi pale, hao jamaa naona wanaongeza bei kufidia wanavyoibiwa.
Kuna siku nilikuwa natazama home theater, bei yao ilikuwa kama 750K, kidogo si kaja mhudumu wa pale, akanambia "mama umeipenda hii?" nikamwambia bajeti yangu ndogo, akanambia "bajeti yako ngapi mama", nikamwambia aaah wee wacha tu, akanambia "mama mie ntakutolea hii kwa laki nne". Nikamwambia ntarudi. Ndio kimoja, niliondoka mbio nikifikiri ni tapeli anataka kuniingiza mjini, heee, kufika nyumbani si nnhadithia nimekutana na tapeli Mlimani city anajifanya mhudumu, nikawaeleza kile kisa, wakanambia hiyo ndio kazi yao pale, wanaiba wanakuletea mpaka kwenye gari.
Sasa Kwa hayo mnategemea bei ziwe kama mjini? Hii nchi yetu ina matatizo makubwa sana aliyotuachia nyerere.
Good condition,HD, Tsh 1M ,interested buyer just PM
Mkuu tulienda na mshikaji kununua hapo Freedom Electronics kwa bei ya 700,000 tukapewa na warranty ya 3 years huyu jamaa naona ameweka na cha juu.
Mkuu hata hao dealer wa Samsung bado wako juu nenda Freedom Electronics utapata 32 inch kwa 700,000 ikiwa ni 3D bei ndio inaongezeka kidogo
Good condition,HD, Tsh 1M ,interested buyer just PM