Nauza Ipod touch 4th generation

Nauza Ipod touch 4th generation

Osaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
1,943
Reaction score
805
Naiuza Ipod touch 4th generation 8Gb ina kamera,bluetooth,wi-fi na vifaa vyake vyote original kama vile earphone,charge,usb cable pamoja na cd ya i-tunes. overview_hero1_20100901.jpg
 
Una product nyengne za ipod? Ili tuendane na bei!
 
Bei laki tatu na nusu maongezi yapo
 
Kwa nini unaiuza mkuu au kimeo? Ka iko poa sema bei ya kawaida nikufaulishe
 
Kwa nini unaiuza mkuu au kimeo? Ka iko poa sema bei ya kawaida nikufaulishe
Kaka sio kimeo nimenunua nje ya nchi naona kama ni mzigo coz ninatumia iphone so hiyo iphone inafunctions zote zilizopo kwenye ipod hapa TZ nadhani sasa hivi zinauzwa dola 650 piga hesabu mara sh 1560 utapata jibu ni sh ngapi.
 
Back
Top Bottom