MSAADA KWENYE TUTA
TAFADHALI
..Bin TAFADHALI
.
Ndimi Jovin Baro,
Mobile; 0654- 55 03 65
Email;jovinnb@gmail.com
Naomba kwa wana JF na Jamii kwa ujumla, kwa ambaye anaweza kuwa na nia ya kweli ya kununua Kiwanja.
Nauza sehemu ya shamba langu lililopo Mbezi sehemu ya kingazi karibu na Mloganzila pahala panapotarajiwa kujengwa chuo kikuu cha Muhimbili,ili Niweze kukabiliana na Majukumu mengine makubwa na mazito yanayonikabili kwa sasa :
.
20/20 = Bei yake 1.8m kila kipande Unaweza kununua kufuatana na uwezo wako .
Tafadhali wana JF na jamii kwa ujumla wake, Mnakumbuka Sinza na Kinondoni napo palikuwa mashamba, Hivyo mwenye nia ya kweli ya kimaendeleo Tuwasiliane tafadhali .
Wana JF na Jamii kwa ujumla; Majukumu Makubwa/Mazito hayana mtu maarufu sawa na njaa,yakija yanakuja tu ..Tuwe pamoja katika hili Tafadhali
Ahsanteni.
ANGALIZO: Kuna kilometa kama 3.4 kutoka barabara kuu ya morogoro .
Hakuna umeme wala maji ya bomba kwa sasa.
Na uhalali wa shamba utahakikiwa kuanzia serikali ya kijiji/Mtaa na ngazi zote husika
Faida zilizopo/zinazotarajiwa
Kuna mpango wa kujengwa barabara ya lami kuunganisha na Mbezi-kinyerezi hadi uwanja wa ndege.
Kuna mpango wa kujengwa Compus ya Muhimbili University kuanza kujengwa uku mapema mwaka huu.
Na ujenzi wa makazi ya kawaida inaendelea kwa kasi sana mtaona /utaona mji unakuwa kwa haraka .
Ki ukweli eneo hili ni hotcake ila kwa sababu nilizotaja hapo juu inabidi niuze sehemu tu.
Kuna mpango kupeleka umeme na maji maeneo yote ili kufika kituo kituo kikuu cha uchunguzi wa hali ya hewa.
Waweza kuangalia baadhi ya site... chini habari za maendeleo ..
MUHIMBILI UNIVERSITY, MLOGANZILA CAMPUS PHOTO ALBUM
HabariLeo | Muhimbili kutengeneza mji Mloganzila
Parliament of Tanzania
Ndimi Jovin Baro,
Mobile; 0654- 55 03 65
Email;jovinnb@gmail.com
Naomba kwa wana JF na Jamii kwa ujumla, kwa ambaye anaweza kuwa na nia ya kweli ya kununua Kiwanja.
Nauza sehemu ya shamba langu lililopo Mbezi sehemu ya kingazi karibu na Mloganzila pahala panapotarajiwa kujengwa chuo kikuu cha Muhimbili,ili Niweze kukabiliana na Majukumu mengine makubwa na mazito yanayonikabili kwa sasa :
.
20/20 = Bei yake 1.8m kila kipande Unaweza kununua kufuatana na uwezo wako .
Tafadhali wana JF na jamii kwa ujumla wake, Mnakumbuka Sinza na Kinondoni napo palikuwa mashamba, Hivyo mwenye nia ya kweli ya kimaendeleo Tuwasiliane tafadhali .
Wana JF na Jamii kwa ujumla; Majukumu Makubwa/Mazito hayana mtu maarufu sawa na njaa,yakija yanakuja tu ..Tuwe pamoja katika hili Tafadhali
Ahsanteni.
ANGALIZO: Kuna kilometa kama 3.4 kutoka barabara kuu ya morogoro .
Hakuna umeme wala maji ya bomba kwa sasa.
Na uhalali wa shamba utahakikiwa kuanzia serikali ya kijiji/Mtaa na ngazi zote husika
Faida zilizopo/zinazotarajiwa
Kuna mpango wa kujengwa barabara ya lami kuunganisha na Mbezi-kinyerezi hadi uwanja wa ndege.
Kuna mpango wa kujengwa Compus ya Muhimbili University kuanza kujengwa uku mapema mwaka huu.
Na ujenzi wa makazi ya kawaida inaendelea kwa kasi sana mtaona /utaona mji unakuwa kwa haraka .
Ki ukweli eneo hili ni hotcake ila kwa sababu nilizotaja hapo juu inabidi niuze sehemu tu.
Kuna mpango kupeleka umeme na maji maeneo yote ili kufika kituo kituo kikuu cha uchunguzi wa hali ya hewa.
Waweza kuangalia baadhi ya site... chini habari za maendeleo ..
MUHIMBILI UNIVERSITY, MLOGANZILA CAMPUS PHOTO ALBUM
HabariLeo | Muhimbili kutengeneza mji Mloganzila
Parliament of Tanzania