Mimi ninayo n78 nimeshaitumia kwa mwaka mmoja na spika zake za sim zimekufa lakini funtions nyingine zote zinafanya kazi.Kama utaihitaji tuwasiliane bei sh 450,000/= not negotiable.kwa yoyote mwenye simu aina hizo mojawapo anaweza kuniuzia naihitaji sana, nipo Dar