Wewe uliyeleta tangazo mbona kama unajiweka pembeni as if unaogpa lawama? Je, una uhusiano gani na anayeuza? Ninakuuliza hivi kwa sababu hakuna mtu asiyejua kama kuna viwanja vinauzwa sehemu mbalimbali nchini, sasa unapoleta tangazo unawajibika kutoa taarifa zitakazowafanya watu waamini kwamba business hiyo ni genuine.