Nyumba ya kupanga

Nyumba ya kupanga

Mallaba

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
2,554
Reaction score
48
Salaam wanajamii, naombeni kama kuna mtu yeyote mwenye aidha kujua au kusikia kama kuna nyumba/chumba cha kupanga maeneo kati ya Upanga,jangwani au karibu ya maeneo hayo hasa karibu na Muhimbili.
Natanguliza shukrani.
 
Kuna nyumba iko Sea View, Upanga, mpangaji aliyemo anamaliza muda wake tarehe 31 Oktober 2011. Kama uko interested write me via mnakujmb@live.com, will take you there, rent as it stands is USD 900 per month
 
Ahsante Kijigo Junior, Ila kwa bei hiyo sina ubavu hata kidogo wa kulipia milion na nusu kwa mwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom