Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Idhaa ya kiswahili ya RFI KIswahili inatarajia kuadhimisha mwaka mmpja tokea kuanzishwa kwake , ikiwa imekita mizizi yake jijini Dar es salaam Nchini Tanzania mnamo 5July. Ili kusikiliza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo changombe -temeke karibu na maduka mawili piga namaba 0713 689665 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza daladala Toyota DCM lina ruti ya Tabata - Posta. Linatembea, limefungwa tairi mpya na liko kwenye hali nzuri (Engine+Body+Rangi+Seat Cover). Bei 25m (maelewano yako). Mawasiliano ni 0773...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Toyota estima inauzwa na autorec dola 1780 au shligi 2,848,000 iko japan. Hivi garama ni pamoja na usafiri wa kuileta huku tanzania au? Harafu nisaidieni mchanganuo wa kodi zetu wa kuingiza gari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Viwanja viwili vipo mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi zone ukubwa vyote ni 30 kwa 30 vyote viko barabarani umbali ni nusu km toka moro road. Bei inaanzia m9 bt hicho kingine kimejengwa nyumba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
I am working with an auditing firm,I have experiences in auditing and doing accounting works i.e preparing payroll,VAT,PAYE etc,and Preparing FINANCIAL statement. I am also writing business plan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nuna modem ya voda,kwa hapa nilipo,network unasumbua sana,Kama kuna mdau anayeweza kuchakachua tafadhali naomba msaada!!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vigezo na masharti kuzingatiwa wahi kabla ya tar 01 jul ,return kwa usd 350 tu no one way for more cont 0717 29 49 48 02221222402 jamani nimekuwa mteja mzuri wa hii ndege kwenda kigali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama unahitaji nipigie 0715292731 ili kupata maelezo zaidi na picha. Inatakiwa kufanyiwa finishing.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Removed
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa buguruni, mil 140. Ipo barabarani. Kwa mawasiliano 0784 419030.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau, gari inauzwa mil 3.8; Ni Mark II, Baloon, Manual, 4 cylinder. km 109,456 km.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Automatic, nyeupe, ipo vizuri, bei 3.7mil. Ipo katika hali nzuri. Kuiona piga simu 0717114409
0 Reactions
9 Replies
4K Views
JAMANI WANA JF NAOMBA MWENYE CPU ANIUZIE,AU ANAYEJUA WAPI ZINAUZWA KWA BEI NAFUU ANIUZIE.IWE NA HDD GB 300.RAM 512.DVD WRITER.asanteni.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ninatumia Modem ya Vodacom,Ila nimejikuta ninakwama kwakuwa eneo nililopo mtandao wa voda unasumbua sana,nauliza kama kunauwezekano wa kuchakachua niweze kutumia line yeyote.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sprout your hand and let someone in return give you a free health cover.Do you know your Zip Code? This is perfect opportunity to get yourself a free health cover for free COMPARE FREE QUOTES AND...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa bei poa kipo Arusha Sakina sailentin mita 500 kutoka barabarani, bei Milioni 8.5 ukubwa ni 22 kwa 17 kina umeme na maji mawasiliano 0754320077/0655320077/ 0717010310
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada jamani,wapi kunapatikana vifaa vya umeme vya uhakika, kama fridge,tv etc
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanyenia ya kumiliki Studio kwa ajili ya Kituo cha Redio au kurekodi na kuhariri video wanaweza sasa kuwasiliana na mimi +255 784 582039 http://digkazi-digkazi.blogspot.com/ Asante
0 Reactions
7 Replies
4K Views
2 beach plots for sale: Located at Gezaulole Kigamboni, approx. 200 metres from beach, and only few metres from the mail road, one with 1,011 sqr mtrs (TZS 30M negotiable) and another with 570 sqr...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom