Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa.<br> <br> mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)<br> ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIWANJA VINAUZWA MBEZI MWISHO Mita 25*22 2.5 Mil., Mita 25*40 4.5Mil. UMEME UPO. vipo km 2.5hivi kutoka morogoro road upande wa kulia ukitokea mjini (Kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577).
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ipo Makongo Juu. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, store, garage, uzio, kodi shs 750,000/- kwa mwezi. kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Gari Gari Gari Gari Gari......................DUET Gari TOYOTA Duet 1999 inauzwa bei nzuri sana Specifications Mileage 42,000 Kilometres tu,cc 1000,PWs,AT,Gasoline(petrol) Ipo katika very good...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I'm looking for a Blackberry 9700, for anyone who is willing to sell or has one on sale please PM me asap!! Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika kuendeleza watanzania kuweza kutumia usafiri wa ndege kwabei rahisi kampuni ya ndege ya rwandair imetangaza promo kwa kila m tanzania sasa nauli za kwenda bujumbura tu usd 350 tax inclusive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari dogo aina ya Nissan Premeler inauzwa, ipo katika hali nzuri sana. Piga 0786 046484 au gmwiga@yahoo.com
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF,Nyumba ya kisasa ina master room 1,vyumba vya kawaida viwili,ina sitting room,dinning room na frem ya duka pia ina umeme,ni self container vilevile ina hati inauzwa iko tabata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu poleni na kazi!natafuta frem ya kufungua biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi(hardware) mitaa ya kuanzia tangi bovu hadi bunju!iwe along the road!nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mashamba, mashamba, mashamba, kama unanahitaji shamba Bagamoyo barabara inayojengwa kuelekea msata maeneo ya kidomole Km 2.5 toka barabarani kuu bei ni 1.2m kwa heka zipo heka 20, ni pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
New MEGALLAN GPS Locater for sale only at 100,000/= each. contact me katika namba 0714894798, Napatikana DSM.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau, Ninauza gari yangu Toyota Cami (Sports Model - 1999) kwa bei ya chini kabisa &#8230; 7M tu Specifications: Iko katika excellent running condition (Imetembea KM 77,000 tu) 5-door...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kiwanja kipo Mbezi juu umbali mfupi kutoka Mbezi Garden hotel au St Marys. Kina view nzuri sana ya bahari. Bei m 8 tu. Contact 0715549911
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, ninatafuta kiwanja Iringa ambacho naweza kuweka Guest house. Mwenye nacho PM please.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji iphone used, kama kunamtu anayo anauza basi ani PM, nipo Dar.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iwe na vigezo vifuatavyo Carina T1 110-Toyoa Corolla 111- Corolla Piga simu, 0784 419030. Iwe katika hali nzur.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF,natafuta chumba cha kupanga maeneo ya makongo juu karibu na chuo kikuu ardhi cha bei kuanzia 35000 hadi 50000,kwa mwezi! Kwa mwenye kufahamu naomba anijulishe kwenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Make: HP Model: Pavilion dv6-323nr Entertainment PC Processor: Intel(R) Core(TM) i3 CPU M370 @2.4GHz 2.4GHz RAM: 4GB 64 bit Operating System HDD: 320GB, 5400RPM Genuine windows 7 Home premium...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habari wana JF, kama mnavyoona picha hapo juu gari inauzwa kwa Tshs Mil 20. Make: Toyota Year of Manufacture : 2000 Colour: White Fuel used: Petrol kwa yeyote anayehitaji ani PM ili aweze kuja...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HONDA CRV: PRICE 7.5 MILLION CRV HONDA-DARK BLUE,1996model, 2000cc,AUTOMATIC, RUNNING NICELY. Call 0719 462348-Asinyegas.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom