Ndugu wanaJF,natafuta chumba cha kupanga maeneo ya makongo juu karibu na chuo kikuu ardhi cha bei kuanzia 35000 hadi 50000,kwa mwezi! Kwa mwenye kufahamu naomba anijulishe kwenye...
Make: HP
Model: Pavilion dv6-323nr Entertainment PC
Processor: Intel(R) Core(TM) i3 CPU M370 @2.4GHz 2.4GHz
RAM: 4GB
64 bit Operating System
HDD: 320GB, 5400RPM
Genuine windows 7 Home premium...
habari wana JF, kama mnavyoona picha hapo juu gari inauzwa kwa Tshs Mil 20.
Make: Toyota
Year of Manufacture : 2000
Colour: White
Fuel used: Petrol
kwa yeyote anayehitaji ani PM ili aweze kuja...
Sasa tumefungua kampuni kwa jina la Nsamy Real Estate and General Suppliers Ltd, kampuni inahusika na uuzaji wa viwanja, majumba, kupangisha nyumba za biashara na makazi, uuzaji wa mashamba. Kwa...
samahanini kwa usumbufu, naulizia ofic za family health international (FHI) zipo wapi hapa dar? naomba mniambie nipande gari za wap na nshukie wap plz, nahitaji kwenda huko kesho
Habari zenu wakuu.Nauza computer yangu aina ya DELL OPTIPLEX GX520,HDD 160gb,3.0Ghz,512 RAM nakupa na modem ya sasatel,sub-woofer ndogo na CD za windows,drivers na software nyingine.BEI...
A place known as Boko juu or Boko Chama, one Kilometer from Bagamoyo rd.
Good landscape and 25 to 22 metres.
Price: TSH 3,000,000
Phone: +255 712 597 718
Area 1544 square metres or (30 x 50 metres). Opposite the gate entrance to TAFIRI, a walking distance to Kunduchi beach Hotel.
Price: TSH 100,000,000
Phone: +255 784 524 775 or +255713247316
Hakuna dalali, njoo uone na ununue
Toyota DCM T 133 ACD lipo barabarani Temeke - Gongo la mboto, zima kabisa, body, engine, kila kitu safi,
Wasiliana nasi for more details
0715800001
0713453059
Vipo Mbezi Msumi kilomita 8 kutoka Mbezi mwisho.Vipo karibu na Kanisa Katoliki kigango cha Mt Teresa Benedicta wa Msalaba. Kuna usafiri wa daladala kutoka Mbezi mwisho mpaka hapo nauli shilingi...
Ina vyumba vitatu vya kulala. Sebure na jiko. Ipo Tabata Shule. Ina eneo la kutosha kuhifadhi magari mawili.kodi shs 350,000 kwa mwezi. Kwa maelezo zaidi piga simu nambari 0717114409
natafuta hostel, dar kwa ajili ya kuishi mieiz miwili ya august na september, maeneo ya kawe, msasani, moroco, kinondoni , mwananyamala, au popote pale mitaa inayokaribiana na hiyo, tusaidiane...
halo JF's
kuna alieshawahi kuagizia gari kutoka zenj? please naomba mchanganuo wa bei nasikia pia kuna ushuru mwingine kuiingiza bara, inafanyikaje hii? Pia kwa ushauri je ni rahisi kutafuta gari...
Naiuza Ipod touch 4th generation 8Gb ina kamera,bluetooth,wi-fi na vifaa vyake vyote original kama vile earphone,charge,usb cable pamoja na cd ya i-tunes.
Zinapatikana katikati ya Kimara Stop Over na kimara Suka. Zipo ndani ya kiwanja kimoja chenye ukubwa wa ekari moja. Kila nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, dinning, jiko. Zimejengwa...
laptop pentum (r)m mbili zinauzwa kwa sh laki 3 tatu na nusu tuuuuu na hazina tatizo kabisa 0764435828 nipo mabibo namba ya simu hiyo kazi kwenu kujimwagaaaaaaaaaaaaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.