Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salam wadau! Nashughurika na kusafirisha mizigo kwenda mikoani, sasa kutokana na kuzidiwa na mizigo nimeamua kutafuta gari za kukodi ila kwa makubaliano maalumu na nitakuwa nailipa kwa wiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF natafuta kiwanja/Nyumba ya kununua maeneo ya Keko Machungwa,Staki shari Kurasini, Chang'ombe maduka mawili, nAHITAJI KIWANJA AU JUMBA BOVU 10M NDIO BAJETI YANGU
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Iwe inaweza kutumika kwa watu wawili ya upande mmja uwe na master bedroom na sebule n aaupande wapili hivyo hivyo jiko kushare sawa tu,kama kuna garage ni ladha tosha
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kimara Temboni - About 3 KM toka barabarani, 40 X20Metres, bei Tshs 12,000,000 ( Baraba mpaka kwenye kiwanja, umeme upo) Mbezi msakuzi 40 X 20Metres, bei Tshs 8,000,000 ( Kinapakana na shule...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Pata mashuka mazuri kwa bei nafuu sana. Yanafaa sana kwa watoto.Just call on 0655767089
0 Reactions
7 Replies
6K Views
  • Closed
Kwa wale wenye barua pepe kupitia JF, tafadhali tembelea: mail.jamiiforums.com na kusoma barua pepe zenu. Kuna ujumbe muhimu kwenu. Kwa wale wenye kupenda kuwa na barua pepe kupitia JF ni...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Tracksuits za watoto wadogo,,size ya kati na ya wakubwa zinapatikana.!Tunapokea order za mashuleni,primary na secondary.!Bei ni poa sana.Karibuni.!Just PM me.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
baada ya kushindwa kupata strong srt 4910/4930 sasa naomba mnisaidie kupata decoder niliyoandika hapo juu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAJAMENI, MY MAIL IS mattspartacus@yahoo.com, self own, comprehensively insured, very good condition. 13m..........
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mikocheni "B" near Coca Cola factory Groung floor; 3 bedrooms - 1 masterbedroom, Lounge, dinning area, kitchen, store, 2 public toilets, 1 pulic showerroom First floor; Master Suite with...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa kipo makongo ya juu. ukubwa ni 23m (urefu) kwa 22.5m(upana). Kipo barabarani, maji na umeme vilishafika toka 2004. Ni low density area.Ni 18 -20 mins driving from Mwenge. Piga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nyumba iliyo tabata bima, yenye.. Sitting room -1 dinning room -1 kitchen – 1 master room – 1 guest room- 2 yenye uwanja mkubwa wa kupaki magari banda la mbwa banda la kuweka gari...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Piga simu au email kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nyumba ya kifahari inapangishwa tabata kimanga, karibu na stendi ya mabasi, nyumba ya kifahari, laki 8 kwa mwezi, picha inafuata muda si mrefu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba msada wa kujua blogu za aina hiyo.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mwenye moja ya cmu hzo na anauza ni pm or niinform...nipo arusha,sakina!Namba zangu ni 0783913838
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa natafuta external hard disk yenye GB kuanzia 80 nimetenga fungu tayari, naihitaji sana! nikipata zile ndoigo za lap top nitafurahi zaidi. Mwenye nayo ani Pm tafadhali! Asante.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nokia N97 inapatikana Arusha kwa 275,000/= bei ya kujiachia zaidi,,ipo katika hali nzuri na accessories kama Cable, earphones na charger..contacts: 0652007007
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jionee mwenyewe kwenye picha., piga 0784 419030 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
VX inauzwa, Mil 25, Jionee mwenyewe kwenye picha, kwa mawasiliano piga 0784 419030.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom