asalm alekhum waungwana ! mimi ni mkulima wa tangawizi kigoma ,nilikuwa naomba msaada wa mchakato wa kuuza tangawizi zangu kama 20 tons hivi ,kiusalama maana naogopa kutapeliwa na wahuni ,pia kama unaijua bei
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.