Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi ni mdada naitaji chumba self maeneo hayo hapo juu sh 50000 mbili kwa laki moja kwa mwezi sehemu iwe nzuri karibu na barabara pawe na maji na umeme pls nyumba iwe ya kisasa kiasi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Frame inapangishwa mikocheni Tanesco chama 15 sqm few metres from old bagamoyo road, suitable for shop @ 1300000 per year call 0713435435
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa. mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO) ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x upana 25m)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ipo Maeneo ya Banana barabara ya kwenda Kitunda kule Relini. 1.Vyumba Vitatu vya Kulala na Master Moja 2.Packing na Geti ya Magari Matatu madogo 2.Umeme na Maji ya Kisima (Kama una...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa.<br> <br> mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)<br> ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIWANJA VINAUZWA MBEZI MWISHO Mita 25*22 2.5 Mil., Mita 25*40 4.5Mil. UMEME UPO. vipo km 2.5hivi kutoka morogoro road upande wa kulia ukitokea mjini (Kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577).
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ipo Makongo Juu. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, store, garage, uzio, kodi shs 750,000/- kwa mwezi. kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Gari Gari Gari Gari Gari......................DUET Gari TOYOTA Duet 1999 inauzwa bei nzuri sana Specifications Mileage 42,000 Kilometres tu,cc 1000,PWs,AT,Gasoline(petrol) Ipo katika very good...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I'm looking for a Blackberry 9700, for anyone who is willing to sell or has one on sale please PM me asap!! Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika kuendeleza watanzania kuweza kutumia usafiri wa ndege kwabei rahisi kampuni ya ndege ya rwandair imetangaza promo kwa kila m tanzania sasa nauli za kwenda bujumbura tu usd 350 tax inclusive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari dogo aina ya Nissan Premeler inauzwa, ipo katika hali nzuri sana. Piga 0786 046484 au gmwiga@yahoo.com
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF,Nyumba ya kisasa ina master room 1,vyumba vya kawaida viwili,ina sitting room,dinning room na frem ya duka pia ina umeme,ni self container vilevile ina hati inauzwa iko tabata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu poleni na kazi!natafuta frem ya kufungua biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi(hardware) mitaa ya kuanzia tangi bovu hadi bunju!iwe along the road!nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mashamba, mashamba, mashamba, kama unanahitaji shamba Bagamoyo barabara inayojengwa kuelekea msata maeneo ya kidomole Km 2.5 toka barabarani kuu bei ni 1.2m kwa heka zipo heka 20, ni pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
New MEGALLAN GPS Locater for sale only at 100,000/= each. contact me katika namba 0714894798, Napatikana DSM.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau, Ninauza gari yangu Toyota Cami (Sports Model - 1999) kwa bei ya chini kabisa &#8230; 7M tu Specifications: Iko katika excellent running condition (Imetembea KM 77,000 tu) 5-door...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kiwanja kipo Mbezi juu umbali mfupi kutoka Mbezi Garden hotel au St Marys. Kina view nzuri sana ya bahari. Bei m 8 tu. Contact 0715549911
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, ninatafuta kiwanja Iringa ambacho naweza kuweka Guest house. Mwenye nacho PM please.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji iphone used, kama kunamtu anayo anauza basi ani PM, nipo Dar.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iwe na vigezo vifuatavyo Carina T1 110-Toyoa Corolla 111- Corolla Piga simu, 0784 419030. Iwe katika hali nzur.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom