WanaJamvi,
nauza kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, kipo Buyuni eneo lililopimwa na wizara ya ardhi mwaka 2006/2007.
kipo located sehemu nzuri sana as per the plan, kinalipiwa rent kila mwaka na...
We are specialized in all kinds of rattan furnitures such as Rattan Dining Room Sets,Rattan and Wicker Bedroom Sets,Rattan Living Rooms,Causal Furnitures with over 100 different designs. Our...
wakuu nimepita wilaya nyingi kutafuta maisha nimekutana na kitu adimu sana nchini humu. Nilifika wilaya ya kilindi mkoa wa tanga wilaya hii ni mpya imezaliwa kutoka wilaya ya handeni, nilifika...
Hi waungwana.Naomba mnisaidie ni wapi ninaweza nikanunua battery la dell d620 kwani nililo nalo halinifai kabisa kwani limekwisha sana,yaani haliwezi hata kutunza charge hata kwa dakika...
samahanini wakuu! Naomba msaada wa calculation au jinsi ya kupata kodi ntakayo lipa kwa TOYOTA NOAH YA MWAKA 1997 yenye CIF ya Dola 3100,kwa systeam mpya ya TRA.natanguliza shukrani zangu!
Mitsubishi Fuso 10 ton (tipper) linauzwa. Lina hali nzuri sana! Ni wiki moja tangu limevalishwa tairi 10 mpya. Ni Fuso ya Dec 1994 na limetembea Km 78,201. Liliagizwa toka Japan na linafanya kazi...
Mitsubishi Fuso 10 ton (tipper) linauzwa. Lina hali nzuri sana! Ni wiki moja tangu limevalishwa tairi 10 mpya. Ni Fuso ya Dec 1994 na limetembea Km 78,201. Liliagizwa toka Japan na linafanya kazi...
Nafanya,office patition.<br /><br />
Windor fitting.<br /><br />
Dor fiting.<br /><br />
Na showcase desin<br /><br />
Natafuta tenda maofficeni na kwa watu binafsi, níite...
kwa pamoja tunasikitika kutoa salamu hizi za rambirambi kwa jamii ya afrika na mashariki. imekuwa wiki ngumu na yenye majonvi kwa mataifa ya Tanzania hasa visiwa vya Zanzibar na Kenya mji wa...
Nahitaji fremu kariakoo na mwenge kwa ajili ya kuuza vitu vya watoto kama vile nguo na accessories zote. Kwa Kariakoo sitaki duka zima bali nahitaji wao wanaitakizimba au 'goli". mwenge nahitaji...
Wanajf ninatambulisha bidhaa halisi ya mafuta ya kupikia.KIBAIGWA AMANI FRESH OIL MILL bidhaa hii inapatikana kwenye ujazo wa Lita 20 na lita 5.Bei ni Tsh 3500/= kwa lita moja.Mawasiliano piga...
INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA
INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA
ENEO LA KITAASISI LAUZWA -KIMARA
A plot -7822M2with title deed,situated at Kimara-Golan/Temboni Area, registered...
Tunatoa huduma za ulinzi ktk magodown,ofisi,majumbani,yards,maduka nk kwa gharama nafuu na tunao askari makini,wachapakazi na waaminifu.call 0658336682/ 0754336682 ASAM SECURITY CO. Ltd.
Jamani mwenye simu ya Nokia N82 na anaiuza naomba anijulishe kwa namba 0713589106 au aniandikie kwa pascalmabagala@gmail.com. au kama kuna duka ambalo naweza kupata simu ya namna hii pia naomba...
Ninajaribu kuweka library ya cable zote za kuhusu Tanzania. Zimefichuka
Hatuna uhakika i kama yaliyoandikwa yapi ni kweli na yapi ni uongo Lakini Jamii ya viongozi wetu na sisi wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.