Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Lipo manyara karibu na serena hotel bei ni makubaliano. email. babalacky@yahoo.com au pm kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJamvi, nauza kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, kipo Buyuni eneo lililopimwa na wizara ya ardhi mwaka 2006/2007. kipo located sehemu nzuri sana as per the plan, kinalipiwa rent kila mwaka na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
hello wana jf, naomba kujuzwa utaratibu wa kufuata kama nahitaji vyumba/apartment katika nyumba za NHC pale mwenge., natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We are specialized in all kinds of rattan furnitures such as Rattan Dining Room Sets,Rattan and Wicker Bedroom Sets,Rattan Living Rooms,Causal Furnitures with over 100 different designs. Our...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nimepita wilaya nyingi kutafuta maisha nimekutana na kitu adimu sana nchini humu. Nilifika wilaya ya kilindi mkoa wa tanga wilaya hii ni mpya imezaliwa kutoka wilaya ya handeni, nilifika...
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Hi waungwana.Naomba mnisaidie ni wapi ninaweza nikanunua battery la dell d620 kwani nililo nalo halinifai kabisa kwani limekwisha sana,yaani haliwezi hata kutunza charge hata kwa dakika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
samahanini wakuu! Naomba msaada wa calculation au jinsi ya kupata kodi ntakayo lipa kwa TOYOTA NOAH YA MWAKA 1997 yenye CIF ya Dola 3100,kwa systeam mpya ya TRA.natanguliza shukrani zangu!
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mitsubishi Fuso 10 ton (tipper) linauzwa. Lina hali nzuri sana! Ni wiki moja tangu limevalishwa tairi 10 mpya. Ni Fuso ya Dec 1994 na limetembea Km 78,201. Liliagizwa toka Japan na linafanya kazi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mitsubishi Fuso 10 ton (tipper) linauzwa. Lina hali nzuri sana! Ni wiki moja tangu limevalishwa tairi 10 mpya. Ni Fuso ya Dec 1994 na limetembea Km 78,201. Liliagizwa toka Japan na linafanya kazi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nafanya,office patition.&lt;br /&gt;<br /> Windor fitting.&lt;br /&gt;<br /> Dor fiting.&lt;br /&gt;<br /> Na showcase desin&lt;br /&gt;<br /> Natafuta tenda maofficeni na kwa watu binafsi, níite...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa pamoja tunasikitika kutoa salamu hizi za rambirambi kwa jamii ya afrika na mashariki. imekuwa wiki ngumu na yenye majonvi kwa mataifa ya Tanzania hasa visiwa vya Zanzibar na Kenya mji wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji fremu kariakoo na mwenge kwa ajili ya kuuza vitu vya watoto kama vile nguo na accessories zote. Kwa Kariakoo sitaki duka zima bali nahitaji wao wanaitakizimba au 'goli". mwenge nahitaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
natafuta power suppy ya laptop aina ya COMPAQ EV N610C nipigie kwa namba 0714260821 kwa mawasiliano
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajf ninatambulisha bidhaa halisi ya mafuta ya kupikia.KIBAIGWA AMANI FRESH OIL MILL bidhaa hii inapatikana kwenye ujazo wa Lita 20 na lita 5.Bei ni Tsh 3500/= kwa lita moja.Mawasiliano piga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba zuri hekari moja na nusu linauzwa bei 15m eneo ni tambarare ni 0.5km toka barabara ya morogoro maji, umeme upo karibu kwa masiliano pm
0 Reactions
3 Replies
2K Views
INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA INSTITUTIONAL ESTATE FOR SALE-KIMARA ENEO LA KITAASISI LAUZWA -KIMARA A plot -7822M2with title deed,situated at Kimara-Golan/Temboni Area, registered...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunatoa huduma za ulinzi ktk magodown,ofisi,majumbani,yards,maduka nk kwa gharama nafuu na tunao askari makini,wachapakazi na waaminifu.call 0658336682/ 0754336682 ASAM SECURITY CO. Ltd.
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Ng'owo premier sembe inawaletea bidhaa pouwa ya unga wa sembe dona na kande ulio katika kiwango bora kwa bei pouwa contacts 0762332222 col biznes
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mwenye simu ya Nokia N82 na anaiuza naomba anijulishe kwa namba 0713589106 au aniandikie kwa pascalmabagala@gmail.com. au kama kuna duka ambalo naweza kupata simu ya namna hii pia naomba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ninajaribu kuweka library ya cable zote za kuhusu Tanzania. Zimefichuka Hatuna uhakika i kama yaliyoandikwa yapi ni kweli na yapi ni uongo Lakini Jamii ya viongozi wetu na sisi wenyewe...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom