Habari zenu wandugu,
Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo...
Shamba kubwa la ekari 10, lipo eneo la Kibamba Kibwegere kama kilomita 5 toka barabara ya Dar - Morogoro.
Lipo karibu kabisa na mto Mpiji na ardhi yake ni nzuri kwa kilimo cha aina zote.
Pia...
Nawasalimu wana JF,
Tafadhali naombeni muongozo wa namna ya kufungua ofisi ya dry cleaner,(ninatakiwa niandae vifaa gani na mazingira yaweje i.e ukubwa wa ofisi n.k) ni juzi tu kamji ketu huku...
Wakuu natafuta chumba cha kupanga katika maeneo ya k/koo, upanga, ilala au mabibo aliyo na taarifa anitaarifu kwa ku PM au e-mail yangu hapa
hapa
Waheshimiwa ni urgent kweli kweli.
Hata kikiwa...
Natafuta private school nzuri,yenye lengo la kufaulisha zaidi ifanyekazi na mimi.Elimu ya ngu Barchelor of Edu' (arts) hist/geog.Chuo nilichosoma,Mwenge university college of edu'.MAWASILIANO...
Leo ni siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Ninamtakia Birthday njema na Mungu amzidishie siku za kuishi duniani, neema, rehema na busara za...
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele.
Mwenye...
Laptop dell latitude D620 for sale. Ipo dar es salaam, kawe. Ina halinzuri inafanya kazi vizuri. Ina wireless Wifi, bluetooth, internal mobile phone, sc card reader. Bei laki nne tu. Call me...
Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi (10) linauzwa. Shamba hilo lipo katika kijiji cha Kerege Matumbi kijiji cha pili toka Bunju, kuelekea njia iendayo katika kijiji cha kilemela. Ni kilomita moja...
Hp pavilion dv6 laptop 3Gb ram 2ghz core dual processor 150Gb Hdd Dvd rom and webcam @ 450000 only
Hp laptop 2Gb ram 1.5Ghz processor 40Gb hdd @ 350000 only [already sold]
call 0767435430
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.