Nina fuso, natafuta tender

Nina fuso, natafuta tender

Doltyne

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
440
Reaction score
173
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele.

Mwenye taarifa au kuhitaji anipm tafadhali.
Nb: gari iko katika hali nzuri sana.
 
Back
Top Bottom