Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele.
Mwenye taarifa au kuhitaji anipm tafadhali.
Nb: gari iko katika hali nzuri sana.
Mwenye taarifa au kuhitaji anipm tafadhali.
Nb: gari iko katika hali nzuri sana.