Bei ya nokia x7

dedam

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
845
165
Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
 
Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800
Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750

tazama hapa
 
Nokia X7 ndo mpango mzima..pia kama utapata nokia n9 itakuwa mpango zaidi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom