dedam JF-Expert Member Jan 5, 2011 845 165 Oct 8, 2011 #1 Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
Kivuko Member Jul 12, 2009 66 4 Oct 8, 2011 #2 Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa
Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,475 6,428 Oct 8, 2011 #3 Nokia X7 ndo mpango mzima..pia kama utapata nokia n9 itakuwa mpango zaidi.
dedam JF-Expert Member Jan 5, 2011 845 165 Oct 8, 2011 Thread starter #4 Kivuko said: Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa Click to expand... asante mkuu
Kivuko said: Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa Click to expand... asante mkuu