dedam JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 845 Reaction score 166 Oct 8, 2011 #1 Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
Kivuko Member Joined Jul 12, 2009 Posts 66 Reaction score 4 Oct 8, 2011 #2 Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa
Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa
Msarendo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 10,888 Reaction score 7,080 Oct 8, 2011 #3 Nokia X7 ndo mpango mzima..pia kama utapata nokia n9 itakuwa mpango zaidi.
dedam JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 845 Reaction score 166 Oct 8, 2011 Thread starter #4 Kivuko said: Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa Click to expand... asante mkuu
Kivuko said: Nokia X7 ni nzuri zaidi,ina screen kubwa,yenye ubora zaidi,pia ni toleo jipya ukilinganisha na 5800 Nokia X7 inauzwa Tshs 892,750 tazama hapa Click to expand... asante mkuu