Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Leo ni siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Ninamtakia Birthday njema na Mungu amzidishie siku za kuishi duniani, neema, rehema na busara za...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
NATAFUTA GARI SUZUKI SJ410,413,415 OLD MODEL HARDBOARD YENYE HALI NZURI Tafadhali naomba msaada wenu sio VITARA wala ESCUDO Iwe SAMURAI old model
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dear all Natafuta Gari ya kutembelea hapa Mujini na Isizidi 4M Wajameni nisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele. Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
iwe inakaa na chaji mwenye nayo pleas tuwasiliane
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Laptop dell latitude D620 for sale. Ipo dar es salaam, kawe. Ina halinzuri inafanya kazi vizuri. Ina wireless Wifi, bluetooth, internal mobile phone, sc card reader. Bei laki nne tu. Call me...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi (10) linauzwa. Shamba hilo lipo katika kijiji cha Kerege Matumbi kijiji cha pili toka Bunju, kuelekea njia iendayo katika kijiji cha kilemela. Ni kilomita moja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NAOMBA USHAURI-PAJERO JR,TOYOTA CAMI, SUZUKI JIMMY kwa DAR ipi bora zaidi ? ? Kwa vigezo vya ; 1- Mafuta 2-Quality/Uimara au kudumu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hp pavilion dv6 laptop 3Gb ram 2ghz core dual processor 150Gb Hdd Dvd rom and webcam @ 450000 only Hp laptop 2Gb ram 1.5Ghz processor 40Gb hdd @ 350000 only [already sold] call 0767435430
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani wadau naomba mnisaidie kutafuta bei ya hiyo camera aina ya canon md 255.Nimejaribu nimeshindwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza iphone 3gs. Ni used ila ipo kwenye hali njema. Bei ni 350000. kwa anaehitaji ani pm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Looking for a webdesigner, Not just a web designer but a good one, kama vipi nitumie PM tufanye mchakato
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Two-bedroom apartments located in Mbezi Beach are now up for rent. These are newly constructed apartments that have not been occupied before. Each apartment features an open-plan sitting-cum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kipo twangoma km17 kutoka ferry kina ukubwa wa mita za mraba 984. kimepimwa na kina hati halali. mbele kina open space kubwa inaweza kutumika kwa bustani ya mbogamboga kinafikika vizuri. kipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajanvi msaada wenu unaitajika,mwenye contact na hawa watu 1.Betson Gosbert aka mwalimu huyu ni ndugu yangu ila tumepotezana naye wakati anamaliza UDSM 2.Veronica James Temu nina cheti chake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mwenye kujua mahali pakuzipata hizi mashine anidokezee, ikiwezekana na bei pia.
0 Reactions
4 Replies
8K Views
nahtaji blenda yenye uwezo wa kuchuja matunda kuwa juice bila kutegemea umeme.zinapatkana duka gani mkoani mbeya?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar zenyu jf napenda kuwajulisheni kwamba ninauza solar ya watt 80 pamoja na bettry yake na inverter bei cheap.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Resonate Consulting Group Limited (RCG) has organized a 6-day Intensive program geared toward developing knowledge and practical skills necessary to perform ICT Audit, Risk Management and...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka tisa linauzwa, lipo katika kijiji cha kurege, kijiji cha pili toka Bunju. Shamba hili linapakana na barabara ya lami. Lina nyumba mbili. Pia na msingi wa kujenga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom