coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Habari zenu wandugu,
Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo shop ikiwa mpyaa, inauma sana.
Anyway nisiwachoshe, nalazimika kuzama mfukoni tena kwa aina ileile (curve 3g, 9300) au bold au zaidi kutegemea na bei ya muuzaji. Mwenye nayo fasta fasta aniambie na bei yake kabla sijachukua maamuzi ya kuzama dukani tena. Nimepoteza access ya JF full time kwa hiyo napatikana kwa kitochi changu 0714 498877
Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo shop ikiwa mpyaa, inauma sana.
Anyway nisiwachoshe, nalazimika kuzama mfukoni tena kwa aina ileile (curve 3g, 9300) au bold au zaidi kutegemea na bei ya muuzaji. Mwenye nayo fasta fasta aniambie na bei yake kabla sijachukua maamuzi ya kuzama dukani tena. Nimepoteza access ya JF full time kwa hiyo napatikana kwa kitochi changu 0714 498877