Kitchen designers

Kitchen designers

Nyaubwii

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
229
Reaction score
55
Habari zenu JF,

Naomba mwenye kufahamu designers wa kitchen na counters anijuze. Nataka kufungua restaurant, nipo Dar es salaam.

Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu JF,

Naomba mwenye kufahamu designers wa kitchen na counters anijuze. Nataka kufungua restaurant, nipo Dar es salaam.

Natanguliza shukrani.
Mkuu I can do it for you, i can design it and estimate the construction cost; My contact nyenze1@yahoo.com
 
Ndugu Nyaubwii,
Kama kweli unataka kufungua Restaurant siyo swala la ku-dsign na FFE, bila inaanzia kwenye Concept ya Restaurant yenyewe, ni ya aina gani, wateja gani; halafu pawe na Schematic proposal, hapa ndipo huyo designer atakuja na Sketches ku-test Concept kabla ya mambo mengine.
Ukitaka ushauri wa kitaalamu kabla ya designing nipigie 0787 330200
 
Back
Top Bottom